Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum

Image 1
Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima
Waziri
Image 1
Mhe. Maryprisca Winfried Mahundi
Naibu Waziri
MoCDGWSG slide photo
Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Eliakim C. Maswi, akipokea Sera, Sheria na Miongozo mbalimbali ya wizara hiyo kutoka kwa aliyekuwa Katibu Mkuu aliyepita Dkt. John Jingu. Makabidhiano hayo yamefanyika Mei 19, 2026 katika ofisi za Wizara zilizopo Mji wa Serikali Mtumba, Jijini Dodoma.
Image 1
Bw. Eliakim Chacha Maswi
Katibu Mkuu
Image 1
Wakili Amon Mpanju
Naibu Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii na Makundi Maalum
Image 1
Bi. Felister Peter Mdemu
Naibu Katibu Mkuu Maendeleo ya Jinsia na Wanawake

HUDUMA ZETU

Malezi ya Kambo na Kuasili ...
AFYA YA AKILI NA MSAADA WA KISAIKOLOJIA Afya ya Akili, Msaada wa Kisaikolojia na Kijamii, ni huduma endelevu inayolenga kukidhi mahitaji ya mtu kimwi... ...
Usajili wa vituo vya Kulea watoto mchana na Watoto Wachanga  UTARATIBU WA USAJILI WA VITUO VYA KULELEA WATOTO WADOGO MCHANA NA WATOTO WADOGO 1.0 Uta... ...
HUDUMA KWA WAZEE HUDUMA KWA WAZEE NCHINI Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, wanawake na Makundi Maalum kupitia Idara ya Ustawi wa Jamii inarat... ...
Usajili wa Makao ya Watoto   VIAMBATISHO VYA USAJILI WA MAKAO A: MWOMBAJI  BINAFSI Barua ya maombi ya leseni  kwenda kwa Mkurugenzi wa Halmashau... ...
USAJILI WA VITAMBULISHO VYA WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO Zoezi  la  utambuzi  na  usajili  wa  wafanyabiashara  ndogondogo utasimamiwa  na  Mratibu ... ...
Usajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali USAJILI WA NGOs TARATIBU ZA KUSAJILI MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI (NGOs) TANZANIA BARA A. MASHIRIK... ...
Usuluhishi wa Ndoa na Familia ...

KAMPENI

HABARI MPYA

SERIKALI YAHAKIKISHA MAZINGIRA BORA KATIKA MAKAZI YA WATOTO NCHINI.
Na Jackline Minja, Dodoma Serikali imeendelea kuweka utaratibu madhubuti wa kuhakikisha watoto wanaoishi katika vituo vya kulelea watoto wanakuwa katika mazingira bora, salama na yenye kuzingatia ust ...
25 May, 2026 Soma Zaidi
WAZIRI DKT. GWAJIMA AZINDUA KAMPENI YA KITAIFA YA KUHAMASISHA MAADILI NA MALEZI CHANYA KWA WATOTO
Na Saidi Saidi, WMJJWM – Handeni, Tanga Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, amezindua rasmi Kampeni ya Kitaifa ya Maadili na Malezi Chanya kwa ...
25 May, 2026 Soma Zaidi
WAZIRI DKT. GWAJIMA ATOA WITO KWA WAZAZI NA WALEZI KUSIMAMIA MAADILI MEMA KWA WATOTO
Na Saidi Saidi, WMJJWM, Korogwe - Tanga Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, ametoa wito kwa wazazi, walezi na jamii kuhakikisha watoto wanalel ...
25 May, 2026 Soma Zaidi
AZIRI DKT. GWAJIMA ASISITIZA UWAJIBIKAJI NA MAZINGIRA BORA YA KAZI KWA WATUMISHI
Na WMJJWM – Dodoma Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mheshimiwa Dkt. Dorothy Gwajima, amewataka watumishi wa Wizara hiyo kufanya kazi kwa bidii, kuzingatia sheria, kan ...
25 May, 2026 Soma Zaidi

TAARIFA KWA UMMA

31 Jan 2026
fursa za mikopo wafanyabiashara ndogondogo
29 May 2025
fomu ya kujiunga na masomo katika chuo cha buhare,monduli,ruaha,rungemba,mlale,uyole,2025/2026
29 May 2025
fomu ya kujiunga na masomo katika chuo cha maendeleo ya jamii misungwi na mabughai 2025/2026
13 May 2025
tangazo kwa wamiliki wa vituo vya kulelea watoto wadogo mchana kuchukua vyeti vyao
19 Dec 2024
tangazo kwa mashirika yasiyo ya kiserikali

MATUKIO

GHARAMA USHIRIKI WA KONGAMANO NA MKUTANO MKUU - CODEPATA 2026
Event Date : 17 Jun 2026 - 19 Jun 2026
20 May, 2026 Soma Zaidi
KONGAMANO NA MKUTANO MKUU WA WATAALAM WA MAENDELEO YA JAMII TANZANIA (CODEPATA) 2026
Event Date : 17 Jun 2026 - 19 Jun 2026
20 May, 2026 Soma Zaidi
Namba za mawakala wanaosambaza vitenge vitakavyotumika kushona sare katika siku ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, 8 Machi 2025, Arusha
Event Date : 12 Feb 2025 - 08 Mar 2025
12 Feb, 2025 Soma Zaidi
Namba za mawakala wanaosambaza vitenge vitakavyotumika kushona sare katika siku ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, 8 Machi 2025, Arusha
Event Date : 12 Feb 2025 - 08 Mar 2025
12 Feb, 2025 Soma Zaidi
Taarifa muhimu kuhusu vitenge vitakavyotumika kushona sare kwa ajili ya maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani machi 8, 2025, Arusha
Event Date : 12 Feb 2025 - 08 Mar 2025
12 Feb, 2025 Soma Zaidi

slot gacor