Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum
Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima
Waziri
Mhe. Maryprisca Winfried Mahundi
Naibu Waziri
Mahabusu ya Watoto Mbeya inayosimamiwa na Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum imetunukiwa Tuzo na Mahakama Kuu, Kanda ya Mbeya, kwa kutambua mchango wake muhimu katika kuunga mkono na kuboresha shughuli za Mahakama.
Heshima hii inaakisi juhudi, ushirikiano na weledi wa watumishi wa Mahabusu hiyo, sambamba na uongozi thabiti wa Viongozi wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum katika kuhakikisha haki na maslahi ya watoto yanalindwa ipasavyo.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Felister Mdemu akiwa na ujumbe wa Wizara katika mkutano wa 70 wa Hali ya Wanawake Duniani (CSW 70) uliofanyika Machi 10, 2026 jijini New York nchini Marekani
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, akizindua rasmi Mradi wa PAMOJA (Project for Advancing Gender Equality in Tanzania) wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani yaliyofanyika tarehe 8 Machi 2026 mkoani Geita.
Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake ambayo yaliyofanyika Mkoani Geita Machi 08, 2026 yameongozwa na Kaulimbiu isemayo "Haki na Usawa kwa Wanawake na Wasichana; Msingi Jumuishi kufikia Dira 2050". Wasanii na Vikundi mbalimbali vya burudani vimesajiisha kauli hiyo kwa njia tofauti tofauti.
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi, akikagua ujenzi wa bweni la wasichana katika Chuo cha Maendeleo ya Jamii Uyole, Jijini Mbeya baada ya kufanya ziara maalum tarehe 05 Januari 2025.
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mhandisi MaryPrisca Mahundi akiwa katika picha na viongozi pamoja na wajumbe wa Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi Jiji la Dodoma Novemba 28,2025
Dkt. John Jingu
Katibu Mkuu
Wakili Amon Mpanju
Naibu Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii na Makundi Maalum
AFYA YA AKILI NA MSAADA WA KISAIKOLOJIA
Afya ya Akili, Msaada wa Kisaikolojia na Kijamii, ni huduma endelevu inayolenga kukidhi mahitaji ya mtu kimwi...
...
Usajili wa vituo vya Kulea watoto mchana na Watoto Wachanga
UTARATIBU WA USAJILI WA VITUO VYA KULELEA WATOTO WADOGO MCHANA NA WATOTO WADOGO
1.0 Uta...
...
HUDUMA KWA WAZEE
HUDUMA KWA WAZEE NCHINI
Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, wanawake na Makundi Maalum kupitia Idara ya Ustawi wa Jamii inarat...
...
WAJUMBE WA KAMATI ZA MTAKUWWA WATAKIWA KUTOA TAARIFA SAHIHI ZA UTEKELEZAJI
Na WMJJWM – Dodoma
Wajumbe wa kikundi kazi cha utekelezaji wa eneo namba moja la kuimarisha uchumi wa kaya chini ya Mpango wa Taifa wa Kupinga Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto (MTAKUWWA II) wameta ...
WAZIRI DKT. GWAJIMA AITAKA NACONGO KUWAJIBIKA NA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA SERIKALI.
Na Oscar Tarimo WMJJWM - DODOMA.
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, amewataka viongozi wa Baraza la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NaCoNGO) ...
SERIKALI YASISITIZA UWEKEZAJI KWA VIJANA BALEHE KUIMARISHA AFYA, ELIMU NA USTAWI WA TAIFA
Na, Oscar Tarimo, WMJJWM – DODOMA
Serikali inaendelea kuimarisha uwekezaji kwa vijana balehe kama msingi muhimu wa maendeleo ya taifa, Ili kuhakikisha kundi hilo linapata fursa bora za afya, elimu n ...
SERIKALI KUWEKA MIKAKATI YA KUIMARISHA BIASHARA NDOGONDOGO, IKIWEMO KUNDI LA MAMA LISHE
Na WMJJWM - Dar Es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Serikali itaendelea kuweka mikakati madhubuti ya kuimarisha biashara ndogondogo ikiwemo ku ...