Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum
Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima
Waziri
Mhe. Maryprisca Winfried Mahundi
Naibu Waziri
Mkurugenzi wa Idara ya maendeleo ya Jinsia kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Badru Alburnoor akiwa na viongozi wa Ushirikiano wa Kimataifa la Ujerumani (GIZ wakiwa wameshika hati za makubaliano ya Utekelezaji wa Mradi wa Kituo cha Mabadiliko ya Kidijitali Tanzania (Digital Transformation Centre – DTC Tanzania) baaada ya kusaini 11 Juni 2026, jijini Dar Es Salaam.
Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Eliakim C. Maswi, akipokea Sera, Sheria na Miongozo mbalimbali ya wizara hiyo kutoka kwa aliyekuwa Katibu Mkuu aliyepita Dkt. John Jingu. Makabidhiano hayo yamefanyika Mei 19, 2026 katika ofisi za Wizara zilizopo Mji wa Serikali Mtumba, Jijini Dodoma.
Bw. Eliakim Chacha Maswi
Katibu Mkuu
Wakili Amon Mpanju
Naibu Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii na Makundi Maalum
AFYA YA AKILI NA MSAADA WA KISAIKOLOJIA
Afya ya Akili, Msaada wa Kisaikolojia na Kijamii, ni huduma endelevu inayolenga kukidhi mahitaji ya mtu kimwi...
...
Usajili wa vituo vya Kulea watoto mchana na Watoto Wachanga
UTARATIBU WA USAJILI WA VITUO VYA KULELEA WATOTO WADOGO MCHANA NA WATOTO WADOGO
1.0 Uta...
...
HUDUMA KWA WAZEE
HUDUMA KWA WAZEE NCHINI
Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, wanawake na Makundi Maalum kupitia Idara ya Ustawi wa Jamii inarat...
...
WAZIRI DKT. GWAJIMA APONGEZA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO LUDEWA, AHIMIZA WANANCHI KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIUCHUMI NA KUIMARISHA MAADILI
Na Saidi Saidi, WMJJWM – Ludewa
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, ameipongeza Serikali ya Mkoa wa Njombe pamoja na Halmashauri ya Wilaya ya ...
WAKILI MPANJU AHITIMISHA KIKAO KAZI CHA WAKUU WA VITENGO VYA IDARA YA MAENDELEO YA JAMII
Na Evelina Odemba WMJJWMM, Morogoro
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Wakili Amon Mpanju, amehitimisha kikao kazi cha wakuu vitengo vya maendeleo y ...
MALEZI BORA NI UWEKEZAJI WA KIZAZI NA MAENDELEO YA TAIFA - NAIBU WAZIRI MAHUNDI
Na Jackline Minja, WMMJW Mtwara
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi, amesisitiza umuhimu wa malezi na makuzi bora kwa watoto, akie ...
WAZIRI DKT. GWAJIMA ASISITIZA MAGEUZI YA MAENDELEO YA JAMII KUELEKEA DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050
Na Evelina Odemba WMJJWM – Morogoro
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, amekabidhi kompyuta mpakato (laptop) kwa Wakuu wa Vitengo vya Maendele ...