Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum

Image 1
Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima
Waziri
Image 1
Mhe. Maryprisca Winfried Mahundi
Naibu Waziri
MoCDGWSG slide photo
Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake ambayo yaliyofanyika Mkoani Geita Machi 08, 2026 yameongozwa na Kaulimbiu isemayo "Haki na Usawa kwa Wanawake na Wasichana; Msingi Jumuishi kufikia Dira 2050". Wasanii na Vikundi mbalimbali vya burudani vimesajiisha kauli hiyo kwa njia tofauti tofauti.
MoCDGWSG slide photo
MoCDGWSG slide photo
MoCDGWSG slide photo
MoCDGWSG slide photo
MoCDGWSG slide photo
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi, akikagua ujenzi wa bweni la wasichana katika Chuo cha Maendeleo ya Jamii Uyole, Jijini Mbeya baada ya kufanya ziara maalum tarehe 05 Januari 2025.
MoCDGWSG slide photo
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mhandisi MaryPrisca Mahundi akiwa katika picha na viongozi pamoja na wajumbe wa Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi Jiji la Dodoma Novemba 28,2025
MoCDGWSG slide photo
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum,Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, akivishwa skafu na watoto wa Shule ya Msingi Martin Luther, mkoani Dodoma, Novemba 26, 2025, wakati alipowasili kuzungumza na watoto hao kuhusu matumizi ya mitandao na athari zake kwao kuelekea likizo ya mwisho wa mwaka.
MoCDGWSG slide photo
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima akiwa na Naibu wake Mhe. Mhandisi MaryPrisca mara baada ya kupokelewa na Menejmenti na Watumishi wa Wizara katika Ofisi za Wizara Mtumba jijini Dodoma tarehe 18 Novemba, 2025. Wengine ni Katibu Mkuu Dkt. John Jingu na Naibu Katibu Mkuu Wakili Amon Mpanju.
MoCDGWSG slide photo
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi MaryPrisca Mahundi akiwa katika picha na mmoja ya kikundi cha Malezi Mkoa wa Ddodoma mara baada ya kuzungumza na wanavikundi vya malezi na matunzo ya watoto Kata ya Ihumwa Jijini Dodoma tarehe 27 Novemba, 2025.
Image 1
Dkt. John Jingu
Katibu Mkuu
Image 1
Wakili Amon Mpanju
Naibu Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii na Makundi Maalum
Image 1
Bi. Felister Peter Mdemu
Naibu Katibu Mkuu Maendeleo ya Jinsia na Wanawake

HUDUMA ZETU

Malezi ya Kambo na Kuasili ...
AFYA YA AKILI NA MSAADA WA KISAIKOLOJIA Afya ya Akili, Msaada wa Kisaikolojia na Kijamii, ni huduma endelevu inayolenga kukidhi mahitaji ya mtu kimwi... ...
Usajili wa vituo vya Kulea watoto mchana na Watoto Wachanga  UTARATIBU WA USAJILI WA VITUO VYA KULELEA WATOTO WADOGO MCHANA NA WATOTO WADOGO 1.0 Uta... ...
HUDUMA KWA WAZEE HUDUMA KWA WAZEE NCHINI Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, wanawake na Makundi Maalum kupitia Idara ya Ustawi wa Jamii inarat... ...
Usajili wa Makao ya Watoto   VIAMBATISHO VYA USAJILI WA MAKAO A: MWOMBAJI  BINAFSI Barua ya maombi ya leseni  kwenda kwa Mkurugenzi wa Halmashau... ...
USAJILI WA VITAMBULISHO VYA WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO Zoezi  la  utambuzi  na  usajili  wa  wafanyabiashara  ndogondogo utasimamiwa  na  Mratibu ... ...
Usajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali USAJILI WA NGOs TARATIBU ZA KUSAJILI MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI (NGOs) TANZANIA BARA A. MASHIRIK... ...
Usuluhishi wa Ndoa na Familia ...

KAMPENI

HABARI MPYA

WAZEE BUKUMBI WAIPONGEZA SERIKALI.
Na WMJJWM - Mwanza Wazee wanaoishi katika Makazi ya Wazee Bukumbi mkoani Mwanza wameishukuru Serikali kwa kuendelea kuboresha huduma na mahitaji yao ya msingi kwa maisha yenye heshima na ustawi. Shu ...
09 Mar, 2026 Soma Zaidi
WAZIRI DKT. GWAJIMA AIPAMBA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KWA UZINDUZI WA MRADI WA TSH BILIONI 262
Na WMJJWM – Geita Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima , amezindua Mradi wa *PAMOJA (Project for Advancing Gender Equality in Tanzania) wenye th ...
09 Mar, 2026 Soma Zaidi
BILIONI 262 ZA MRADI WA PAMOJA KUKUZA USAWA WA KIJINSIA NA USATWI WA JAMII NCHINI.
Na WMJJWM - GEITA Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. John Jingu amesema serikali kupitia mradi wa pamoja imejipanga kunufaisha wanawake, wasichana n ...
09 Mar, 2026 Soma Zaidi
MALEZI BORA YA WATOTO NI MSINGI WA TAIFA IMARA - WAZIRI DKT. GWAJIM
Na WMJJWM – Dar es Salaam Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima, amesisitiza umuhimu wa kuimarisha taasisi ya familia ili kujenga jamii yenye maadili ...
07 Mar, 2026 Soma Zaidi

TAARIFA KWA UMMA

31 Jan 2026
fursa za mikopo wafanyabiashara ndogondogo
29 May 2025
fomu ya kujiunga na masomo katika chuo cha buhare,monduli,ruaha,rungemba,mlale,uyole,2025/2026
29 May 2025
fomu ya kujiunga na masomo katika chuo cha maendeleo ya jamii misungwi na mabughai 2025/2026
13 May 2025
tangazo kwa wamiliki wa vituo vya kulelea watoto wadogo mchana kuchukua vyeti vyao
19 Dec 2024
tangazo kwa mashirika yasiyo ya kiserikali

MATUKIO

Namba za mawakala wanaosambaza vitenge vitakavyotumika kushona sare katika siku ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, 8 Machi 2025, Arusha
Event Date : 12 Feb 2025 - 08 Mar 2025
12 Feb, 2025 Soma Zaidi
Namba za mawakala wanaosambaza vitenge vitakavyotumika kushona sare katika siku ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, 8 Machi 2025, Arusha
Event Date : 12 Feb 2025 - 08 Mar 2025
12 Feb, 2025 Soma Zaidi
Taarifa muhimu kuhusu vitenge vitakavyotumika kushona sare kwa ajili ya maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani machi 8, 2025, Arusha
Event Date : 12 Feb 2025 - 08 Mar 2025
12 Feb, 2025 Soma Zaidi
Maadhimisho ya Kimataifa ya Siku ya Wanawake Duniani
Event Date : 11 Feb 2025 - 08 Mar 2025
11 Feb, 2025 Soma Zaidi
SIKU YA KIMATAIFA YA KUPINGA UKEKETAJI
Event Date : 06 Feb 2025 - 08 Feb 2025
06 Feb, 2025 Soma Zaidi