Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum
Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima
Waziri
Mhe. Maryprisca Winfried Mahundi
Naibu Waziri
Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Eliakim C. Maswi, akipokea Sera, Sheria na Miongozo mbalimbali ya wizara hiyo kutoka kwa aliyekuwa Katibu Mkuu aliyepita Dkt. John Jingu. Makabidhiano hayo yamefanyika Mei 19, 2026 katika ofisi za Wizara zilizopo Mji wa Serikali Mtumba, Jijini Dodoma.
Bw. Eliakim Chacha Maswi
Katibu Mkuu
Wakili Amon Mpanju
Naibu Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii na Makundi Maalum
AFYA YA AKILI NA MSAADA WA KISAIKOLOJIA
Afya ya Akili, Msaada wa Kisaikolojia na Kijamii, ni huduma endelevu inayolenga kukidhi mahitaji ya mtu kimwi...
...
Usajili wa vituo vya Kulea watoto mchana na Watoto Wachanga
UTARATIBU WA USAJILI WA VITUO VYA KULELEA WATOTO WADOGO MCHANA NA WATOTO WADOGO
1.0 Uta...
...
HUDUMA KWA WAZEE
HUDUMA KWA WAZEE NCHINI
Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, wanawake na Makundi Maalum kupitia Idara ya Ustawi wa Jamii inarat...
...
Dodoma, Septemba 10, 2026
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu, Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Miriam Mmbaga, amewataka watumishi wa Wizara hiyo kuzingatia maad ...
KAMISHNA WA USTAWI WA JAMII NCHINI ATOA WITO, KWA WAZAZI / WALEZI KUSIMAMIA MALEZI BORA NA ULINZI WA WATOTO
Na Saidi Saidi WMJJWM - Dar Es Salaam
Kamishna wa Ustawi wa Jamii, Rehema Kombe ametoa wito kwa wazazi na walezi nchini kuzingatia malezi bora, kuwahudumia watoto ipasavyo na kuhakikisha wanawalinda ...
KATIBU MKUU MASWI - MAAFISA MAENDELEO YA JAMII, USTAWI WA JAMII NI NGUZO YA MAGEUZI YA FIKRA KWA JAMII.
Na WMJJWM - Dodoma
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Eliakim Chacha Maswi amesema Maafisa Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii ni nguzo ya kuleta mageu ...
NAIBU WAZIRI MAHUNDI AWAHIMIZA WANAWAKE MAGEREZA KUJENGA UWEZO, KUTUMIA FURSA ZA KIDIJITALI
NAIBU WAZIRI MAHUNDI AWAHIMIZA WANAWAKE MAGEREZA KUJENGA UWEZO, KUTUMIA FURSA ZA KIDIJITALI
Na Jackline Minja, WMJJWM – Dodoma
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, ...