Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum
Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima
Waziri
Mhe. Maryprisca Winfried Mahundi
Naibu Waziri
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum. Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima (Mb), leo tarehe 14 Julai, 2026 amepokea gari aina ya Toyota Hilux Double Cabin kutoka Shirika Lisilo la Kiserikali la Plan International.
Katika tukio hilo la makabidhiano ya gari, Mhe. Dkt. Gwajima alikuwa ameambatana na Katibu Mkuu wa Wizara, Eliakim Chacha Maswi, Kamishna wa Ustawi wa Jamii, Rehema Kombe, pamoja na Viongozi wengine wa Wizara. Gari hilo litakwenda kuhudumia Makao ya Taifa ya Watoto Kikombo Mkoani Dodoma.
Mkurugenzi wa Idara ya maendeleo ya Jinsia kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Badru Alburnoor akiwa na viongozi wa Ushirikiano wa Kimataifa la Ujerumani (GIZ wakiwa wameshika hati za makubaliano ya Utekelezaji wa Mradi wa Kituo cha Mabadiliko ya Kidijitali Tanzania (Digital Transformation Centre – DTC Tanzania) baaada ya kusaini 11 Juni 2026, jijini Dar Es Salaam.
Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Eliakim C. Maswi, akipokea Sera, Sheria na Miongozo mbalimbali ya wizara hiyo kutoka kwa aliyekuwa Katibu Mkuu aliyepita Dkt. John Jingu. Makabidhiano hayo yamefanyika Mei 19, 2026 katika ofisi za Wizara zilizopo Mji wa Serikali Mtumba, Jijini Dodoma.
Bw. Eliakim Chacha Maswi
Katibu Mkuu
Wakili Amon Mpanju
Naibu Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii na Makundi Maalum
AFYA YA AKILI NA MSAADA WA KISAIKOLOJIA
Afya ya Akili, Msaada wa Kisaikolojia na Kijamii, ni huduma endelevu inayolenga kukidhi mahitaji ya mtu kimwi...
...
Usajili wa vituo vya Kulea watoto mchana na Watoto Wachanga
UTARATIBU WA USAJILI WA VITUO VYA KULELEA WATOTO WADOGO MCHANA NA WATOTO WADOGO
1.0 Uta...
...
HUDUMA KWA WAZEE
HUDUMA KWA WAZEE NCHINI
Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, wanawake na Makundi Maalum kupitia Idara ya Ustawi wa Jamii inarat...
...
WATAKIWA KUZINGATIA WELEDI UTEKELEZAJI, SERA YA TAIFA YA JINSIA
Na Oscar Tarimo WMJJWM Morogoro
Maafisa Ufuatiliaji na Tathmini (M&E), Maafisa Mipango na Waratibu wa Masuala ya Jinsia wametakiwa kutumia maarifa na ujuzi walioupata kuimarisha uratibu, ufuatili ...
SERIKALI IMETENGA BILIONI 1 UKARABATI MAKAZI YA WAZEE NCHINI - NAIBU WAZIRI MAHUNDI
Na Jackline Minja, Kigoma
Serikali imeendelea kuweka mazingira bora ya kuishi kwa wazee nchini kupitia uboreshaji wa Sera, huduma za afya na ukarabati wa makazi ya wazee ili kuhakikisha wanaishi kwa ...
WAZIRI DKT. GWAJIMA ATAKA USHIRIKIANO WA SERIKALI NA NGOs UIMARISHWE ZAIDI ILI KUFIKIA DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050
Na Saidi Saidi WMJJWM, Dodoma,
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, amesisitiza umuhimu wa kuimarisha ushirikiano kati ya Serikali na Mashiri ...
USHIRIKIANO WA JAMII WATAJWA KUWA SILAHA YA KUTOKOMEZA UKATILI
Jackline Minja, WMJJWM - Kigoma
Ushirikiano wa jamii, viongozi wa dini, taasisi mbalimbali na vyombo vya dola umetajwa kuwa nguzo muhimu katika kutokomeza vitendo vya ukatili wa kijinsia vinavyoende ...