Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum
Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima
Waziri
Mhe. Maryprisca Winfried Mahundi
Naibu Waziri
Mahabusu ya Watoto Mbeya inayosimamiwa na Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum imetunukiwa Tuzo na Mahakama Kuu, Kanda ya Mbeya, kwa kutambua mchango wake muhimu katika kuunga mkono na kuboresha shughuli za Mahakama.
Heshima hii inaakisi juhudi, ushirikiano na weledi wa watumishi wa Mahabusu hiyo, sambamba na uongozi thabiti wa Viongozi wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum katika kuhakikisha haki na maslahi ya watoto yanalindwa ipasavyo.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Felister Mdemu akiwa na ujumbe wa Wizara katika mkutano wa 70 wa Hali ya Wanawake Duniani (CSW 70) uliofanyika Machi 10, 2026 jijini New York nchini Marekani
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, akizindua rasmi Mradi wa PAMOJA (Project for Advancing Gender Equality in Tanzania) wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani yaliyofanyika tarehe 8 Machi 2026 mkoani Geita.
Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake ambayo yaliyofanyika Mkoani Geita Machi 08, 2026 yameongozwa na Kaulimbiu isemayo "Haki na Usawa kwa Wanawake na Wasichana; Msingi Jumuishi kufikia Dira 2050". Wasanii na Vikundi mbalimbali vya burudani vimesajiisha kauli hiyo kwa njia tofauti tofauti.
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi, akikagua ujenzi wa bweni la wasichana katika Chuo cha Maendeleo ya Jamii Uyole, Jijini Mbeya baada ya kufanya ziara maalum tarehe 05 Januari 2025.
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mhandisi MaryPrisca Mahundi akiwa katika picha na viongozi pamoja na wajumbe wa Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi Jiji la Dodoma Novemba 28,2025
Bw. Eliakim Maswi
Katibu Mkuu
Wakili Amon Mpanju
Naibu Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii na Makundi Maalum
AFYA YA AKILI NA MSAADA WA KISAIKOLOJIA
Afya ya Akili, Msaada wa Kisaikolojia na Kijamii, ni huduma endelevu inayolenga kukidhi mahitaji ya mtu kimwi...
...
Usajili wa vituo vya Kulea watoto mchana na Watoto Wachanga
UTARATIBU WA USAJILI WA VITUO VYA KULELEA WATOTO WADOGO MCHANA NA WATOTO WADOGO
1.0 Uta...
...
HUDUMA KWA WAZEE
HUDUMA KWA WAZEE NCHINI
Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, wanawake na Makundi Maalum kupitia Idara ya Ustawi wa Jamii inarat...
...
WAZIRI GWAJIMA AZINDUA MWONGOZO WA USHIRIKI WA WADAU KATIKA MIKUTANO YA KIKANDA KIMAIFA.
Na, WMJJWM- Dodoma
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dorothy Gwajima amezindua Mwongozo wa Kuratibu Ushiriki wa Wadau wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makund ...
WAZIRI DKT. GWAJIMA AONGOZA KIKAO CHA MAWAZIRI DHIDI YA MMOMONYOKO WA MAADILI NCHINI
Na Saidi Saidi, WMJJWM – Dodoma
Serikali imeanza kuchukua hatua madhubuti kukabiliana na mmomonyoko wa maadili nchini unaochochewa na matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii, maudhui yasiyofaa pamoja ...
WAZIRI DKT. GWAJIMA AWATAKA MADIWANI KUSIMAMIA AJENDA YA UWEZESHAJI WA WANAWAKE KIUCHUMI
Na Saidi Saidi, WMJJWM – Dodoma
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mheshimiwa Dkt. Dorothy Gwajima, amewataka madiwani na viongozi wa majukwaa ya uwezeshaji wanawake ki ...
WAANDISHI WA HABARI WAPIGWA MSASA UTAYARISHAJI VIPINDI VYA WATOTO
Na WMJJWM – Dar es Salaam
Waandaaji wa vipindi vya watoto wamehimizwa kutumia taaluma zao na lugha rafiki kwa watoto na vijana pamoja na kuzingatia maadili ya taaluma ya Habari katika kuandaa maudhui ...