Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum
Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima
Waziri
Mhe. Eng. Maryprisca Winfried Mahundi
Naibu Waziri
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum. Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima (Mb), leo tarehe 14 Julai, 2026 amepokea gari aina ya Toyota Hilux Double Cabin kutoka Shirika Lisilo la Kiserikali la Plan International.
Katika tukio hilo la makabidhiano ya gari, Mhe. Dkt. Gwajima alikuwa ameambatana na Katibu Mkuu wa Wizara, Eliakim Chacha Maswi, Kamishna wa Ustawi wa Jamii, Rehema Kombe, pamoja na Viongozi wengine wa Wizara. Gari hilo litakwenda kuhudumia Makao ya Taifa ya Watoto Kikombo Mkoani Dodoma.
Mkurugenzi wa Idara ya maendeleo ya Jinsia kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Badru Alburnoor akiwa na viongozi wa Ushirikiano wa Kimataifa la Ujerumani (GIZ wakiwa wameshika hati za makubaliano ya Utekelezaji wa Mradi wa Kituo cha Mabadiliko ya Kidijitali Tanzania (Digital Transformation Centre – DTC Tanzania) baaada ya kusaini 11 Juni 2026, jijini Dar Es Salaam.
Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Eliakim C. Maswi, akipokea Sera, Sheria na Miongozo mbalimbali ya wizara hiyo kutoka kwa aliyekuwa Katibu Mkuu aliyepita Dkt. John Jingu. Makabidhiano hayo yamefanyika Mei 19, 2026 katika ofisi za Wizara zilizopo Mji wa Serikali Mtumba, Jijini Dodoma.
Bw. Eliakim Chacha Maswi
Katibu Mkuu
Wakili Amon Mpanju
Naibu Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii na Makundi Maalum
AFYA YA AKILI NA MSAADA WA KISAIKOLOJIA
Afya ya Akili, Msaada wa Kisaikolojia na Kijamii, ni huduma endelevu inayolenga kukidhi mahitaji ya mtu kimwi...
...
Usajili wa vituo vya Kulea watoto mchana na Watoto Wachanga
UTARATIBU WA USAJILI WA VITUO VYA KULELEA WATOTO WADOGO MCHANA NA WATOTO WADOGO
1.0 Uta...
...
HUDUMA KWA WAZEE
HUDUMA KWA WAZEE NCHINI
Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, wanawake na Makundi Maalum kupitia Idara ya Ustawi wa Jamii inarat...
...
WALIMU WANAWAKE WATAKIWA KUWA MUHIMILI, UTEKELEZAJI DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050 KUPITIA MALEZI NA MAKUZI BORA YA WATOTO
Na Saidi Saidi, WMJJWM – Dodoma
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, amewataka walimu wanawake kuwa vinara wa utekelezaji wa Dira ya Taifa ya M ...
Na Magdalena Nkulu WMJJWM- Tarime Mara
Mkuu wa Wilaya ya Tarime Edward Gowele amesema ukeketaji ni mila isiyotakiwa kuendelezwa katika jamii yoyote kwani ni mila kandamizi kwa watoto wa kike.
Gowele ...
MILA,DESTURI YA UKEKETAJI INAUA TUIACHE - WANANCHI MBULU
Jamii imeaswa kuhakikisha inawalinda watoto wa kike dhidi ya ukeketaji na kuachana na mila hiyo inayohatarisha maisha ya wasichana wengi.
Wito huo umetolewa na wananchi wa kata za Masqaroda, Hyderer ...
Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum kwa kushirikiana na Shirika la C-Sema kupitia ufadhili wa Umoja wa Ulaya imeanza kusambaza Mkakati wa Kitaifa wa Kisekta wa Kutokomeza ...