Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum
Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima
Waziri
Mhe. Maryprisca Winfried Mahundi
Naibu Waziri
Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Eliakim C. Maswi, akipokea Sera, Sheria na Miongozo mbalimbali ya wizara hiyo kutoka kwa aliyekuwa Katibu Mkuu aliyepita Dkt. John Jingu. Makabidhiano hayo yamefanyika Mei 19, 2026 katika ofisi za Wizara zilizopo Mji wa Serikali Mtumba, Jijini Dodoma.
Bw. Eliakim Chacha Maswi
Katibu Mkuu
Wakili Amon Mpanju
Naibu Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii na Makundi Maalum
AFYA YA AKILI NA MSAADA WA KISAIKOLOJIA
Afya ya Akili, Msaada wa Kisaikolojia na Kijamii, ni huduma endelevu inayolenga kukidhi mahitaji ya mtu kimwi...
...
Usajili wa vituo vya Kulea watoto mchana na Watoto Wachanga
UTARATIBU WA USAJILI WA VITUO VYA KULELEA WATOTO WADOGO MCHANA NA WATOTO WADOGO
1.0 Uta...
...
HUDUMA KWA WAZEE
HUDUMA KWA WAZEE NCHINI
Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, wanawake na Makundi Maalum kupitia Idara ya Ustawi wa Jamii inarat...
...
TANZANIA YAENDELEA KUIMARISHA AJENDA YA WANAWAKE, AMANI NA USALAMA
Na WMJJWM Rome Italia
Tanzania imeendelea kuonesha dhamira yake ya kuimarisha usawa wa kijinsia, amani na usalama kwa kushiriki katika Mkutano wa Nane wa Ngazi ya Juu wa Mtandao wa Kimataifa wa Nchi ...
TANZANIA NA GIZ ZASAINI MAKUBALIANO YA KUIMARISHA USHIRIKISHWAJI WA WANAWAKE KATIKA TEKNOLOJIA ZA KIDIJITALI.
Na Mwandishi Wetu, Dar Es Salaam WMJJWM
Serikali ya Tanzania na Ujerumani zimesaini Makubaliano ya Utekelezaji wa Mradi wa Kituo cha Mabadiliko ya Kidijitali Tanzania (Digital Transformation Centre ...
MAHUNDI AIELEZA DUNIA HATUA ZA TANZANIA KATIKA KULINDA HAKI ZA WATU WENYE ULEMAVU
Na Jackline Minja, New York, Marekani
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi, ameieleza Jumuiya ya Kimataifa hatua kubwa zinazochukul ...
DKT. GWAJIMA AZINDUA TAWASIFU YA “NIMEWEZA”, AHIMIZA UTAMADUNI WA KUANDIKA.
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amehimiza Watanzania kuendeleza utamaduni wa kuandika na kuhifadhi historia za maisha yao kwa manufaa ya viz ...