Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum

Image 1
Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima
Waziri
Image 1
Mhe. Maryprisca Winfried Mahundi
Naibu Waziri
MoCDGWSG slide photo
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum. Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima (Mb), leo tarehe 14 Julai, 2026 amepokea gari aina ya Toyota Hilux Double Cabin kutoka Shirika Lisilo la Kiserikali la Plan International. Katika tukio hilo la makabidhiano ya gari, Mhe. Dkt. Gwajima alikuwa ameambatana na Katibu Mkuu wa Wizara, Eliakim Chacha Maswi, Kamishna wa Ustawi wa Jamii, Rehema Kombe, pamoja na Viongozi wengine wa Wizara. Gari hilo litakwenda kuhudumia Makao ya Taifa ya Watoto Kikombo Mkoani Dodoma.
MoCDGWSG slide photo
MoCDGWSG slide photo
Mkurugenzi wa Idara ya maendeleo ya Jinsia kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Badru Alburnoor akiwa na viongozi wa Ushirikiano wa Kimataifa la Ujerumani (GIZ wakiwa wameshika hati za makubaliano ya Utekelezaji wa Mradi wa Kituo cha Mabadiliko ya Kidijitali Tanzania (Digital Transformation Centre – DTC Tanzania) baaada ya kusaini 11 Juni 2026, jijini Dar Es Salaam.
MoCDGWSG slide photo
MoCDGWSG slide photo
MoCDGWSG slide photo
MoCDGWSG slide photo
Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Eliakim C. Maswi, akipokea Sera, Sheria na Miongozo mbalimbali ya wizara hiyo kutoka kwa aliyekuwa Katibu Mkuu aliyepita Dkt. John Jingu. Makabidhiano hayo yamefanyika Mei 19, 2026 katika ofisi za Wizara zilizopo Mji wa Serikali Mtumba, Jijini Dodoma.
Image 1
Bw. Eliakim Chacha Maswi
Katibu Mkuu
Image 1
Wakili Amon Mpanju
Naibu Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii na Makundi Maalum
Image 1
Bi. Felister Peter Mdemu
Naibu Katibu Mkuu Maendeleo ya Jinsia na Wanawake

HUDUMA ZETU

Malezi ya Kambo na Kuasili ...
AFYA YA AKILI NA MSAADA WA KISAIKOLOJIA Afya ya Akili, Msaada wa Kisaikolojia na Kijamii, ni huduma endelevu inayolenga kukidhi mahitaji ya mtu kimwi... ...
Usajili wa vituo vya Kulea watoto mchana na Watoto Wachanga  UTARATIBU WA USAJILI WA VITUO VYA KULELEA WATOTO WADOGO MCHANA NA WATOTO WADOGO 1.0 Uta... ...
HUDUMA KWA WAZEE HUDUMA KWA WAZEE NCHINI Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, wanawake na Makundi Maalum kupitia Idara ya Ustawi wa Jamii inarat... ...
Usajili wa Makao ya Watoto   VIAMBATISHO VYA USAJILI WA MAKAO A: MWOMBAJI  BINAFSI Barua ya maombi ya leseni  kwenda kwa Mkurugenzi wa Halmashau... ...
USAJILI WA VITAMBULISHO VYA WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO Zoezi  la  utambuzi  na  usajili  wa  wafanyabiashara  ndogondogo utasimamiwa  na  Mratibu ... ...
Usajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali USAJILI WA NGOs TARATIBU ZA KUSAJILI MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI (NGOs) TANZANIA BARA A. MASHIRIK... ...
Usuluhishi wa Ndoa na Familia ...

KAMPENI

HABARI MPYA

WATAKIWA KUZINGATIA WELEDI UTEKELEZAJI, SERA YA TAIFA YA JINSIA
Na Oscar Tarimo WMJJWM Morogoro Maafisa Ufuatiliaji na Tathmini (M&E), Maafisa Mipango na Waratibu wa Masuala ya Jinsia wametakiwa kutumia maarifa na ujuzi walioupata kuimarisha uratibu, ufuatili ...
16 Jul, 2026 Soma Zaidi
SERIKALI IMETENGA BILIONI 1 UKARABATI MAKAZI YA WAZEE NCHINI - NAIBU WAZIRI MAHUNDI
Na Jackline Minja, Kigoma Serikali imeendelea kuweka mazingira bora ya kuishi kwa wazee nchini kupitia uboreshaji wa Sera, huduma za afya na ukarabati wa makazi ya wazee ili kuhakikisha wanaishi kwa ...
15 Jul, 2026 Soma Zaidi
WAZIRI DKT. GWAJIMA ATAKA USHIRIKIANO WA SERIKALI NA NGOs UIMARISHWE ZAIDI ILI KUFIKIA DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050
Na Saidi Saidi WMJJWM, Dodoma,   Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, amesisitiza umuhimu wa kuimarisha ushirikiano kati ya Serikali na Mashiri ...
15 Jul, 2026 Soma Zaidi
USHIRIKIANO WA JAMII WATAJWA KUWA SILAHA YA KUTOKOMEZA UKATILI
Jackline Minja, WMJJWM -  Kigoma Ushirikiano wa jamii, viongozi wa dini, taasisi mbalimbali na vyombo vya dola umetajwa kuwa nguzo muhimu katika kutokomeza vitendo vya ukatili wa kijinsia vinavyoende ...
15 Jul, 2026 Soma Zaidi

TAARIFA KWA UMMA

30 Jun 2026
kuunganishwa kwa vyuo vya maendeleo ya jamii, vyuo vya maendeleo ya jamii ufundi na taasisi ya maendeleo ya jamii tengeru
29 Jun 2026
uteuzi wa mwenyekiti wa bodi ya uendeshaji ya taasisi ya maendeleo ya jamii tengeru
31 Jan 2026
fursa za mikopo wafanyabiashara ndogondogo
29 May 2025
fomu ya kujiunga na masomo katika chuo cha buhare,monduli,ruaha,rungemba,mlale,uyole,2025/2026
29 May 2025
fomu ya kujiunga na masomo katika chuo cha maendeleo ya jamii misungwi na mabughai 2025/2026

MATUKIO

GHARAMA USHIRIKI WA KONGAMANO NA MKUTANO MKUU - CODEPATA 2026
Event Date : 17 Jun 2026 - 19 Jun 2026
20 May, 2026 Soma Zaidi
KONGAMANO NA MKUTANO MKUU WA WATAALAM WA MAENDELEO YA JAMII TANZANIA (CODEPATA) 2026
Event Date : 17 Jun 2026 - 19 Jun 2026
20 May, 2026 Soma Zaidi
Namba za mawakala wanaosambaza vitenge vitakavyotumika kushona sare katika siku ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, 8 Machi 2025, Arusha
Event Date : 12 Feb 2025 - 08 Mar 2025
12 Feb, 2025 Soma Zaidi
Namba za mawakala wanaosambaza vitenge vitakavyotumika kushona sare katika siku ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, 8 Machi 2025, Arusha
Event Date : 12 Feb 2025 - 08 Mar 2025
12 Feb, 2025 Soma Zaidi
Taarifa muhimu kuhusu vitenge vitakavyotumika kushona sare kwa ajili ya maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani machi 8, 2025, Arusha
Event Date : 12 Feb 2025 - 08 Mar 2025
12 Feb, 2025 Soma Zaidi

slot gacor