Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum

Image 1
Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima
Waziri
Image 1
Mhe. Mwanaidi Ali Khamis
Naibu Waziri
MoCDGWSG slide photo
Katibu Mkuu wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wanawake na Makundi Maalum Dkt. John Jingu akishiriki katika Mkutano wa kimataifa unaohusisha wajumbe wa nchi jumuiya za umoja wa kimataifa kwa lengo la kujadili nafasi ya mwanamke katika nchi zao ikiwa ni miaka 30 baada ya maazimio ya Beijing Machi 13, 2025 Jijini New york Marekani.
MoCDGWSG slide photo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongea na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima (Mb) mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Sheikh Abeid Amri kwa mkoani Arusha ajili ya Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake Machi 8, 2025
MoCDGWSG slide photo
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima (Mb), akisalimiana na wananwake wakati wa wa Kongamano laWananwake kanda ya Ziwa lililofanyika Machi 2, 2025, mkoani Geita.
MoCDGWSG slide photo
Waziri wa Ulinzi na jeshi la kujenga Taifa Dkt. Stargomena Tax akiwa na viongozi wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wanawake na Makundu Maalum, Viongozi wa Mkoa wa Arusha pamoja na wageni Waalikwa kwenye Kongamano la Wananwake kanda ya Kaskazini lilifanyika Machi 6, 2025 Kwenye ukumbi wa AICC jijini Arusha.
MoCDGWSG slide photo
Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb) akihutubia kwenye Kongamano la Wanawake wa nyanda za Juu Kusini lililofanyika March 5, 2025 Mkoani Mbeya.
MoCDGWSG slide photo
MoCDGWSG slide photo
Mgani rasmi wa kongamano la Wanawake Kanda ya Kati Mhe. Anna Makinda, Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akifurahia ngoma ya kabila la Wagogo ikitumbuiza wakati wa kongamano hilo lililofanyika Machi 4, 2025 jijini Dodoma,
MoCDGWSG slide photo
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji Mhe. Prof. Kitila Mkumbo (Mb) (aliyesimama Katikati) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa Kongamano la Wanawake kanda ya Mashariki lililofanyika Machi 4, 2025 katika ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam.
MoCDGWSG slide photo
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt Phillip Mpango akikabidhi jiko la gasi wakati wa hafla ya Kongamano la Wanawake wa kanda ya Magharibi Mkoani Kigoma.
MoCDGWSG slide photo
Kwaya ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum ikitumbuiza katika kilele cha maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake iliyofanyika Machi 08, 2025 jijini Arusha.
Image 1
Dkt. John Jingu
Katibu Mkuu
Image 1
Wakili Amon Mpanju
Naibu Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii na Makundi Maalum
Image 1
Bi. Felister Peter Mdemu
Naibu Katibu Mkuu Maendeleo ya Jinsia na Wanawake

HUDUMA ZETU

Malezi ya Kambo na Kuasili ...
AFYA YA AKILI NA MSAADA WA KISAIKOLOJIA Afya ya Akili, Msaada wa Kisaikolojia na Kijamii, ni huduma endelevu inayolenga kukidhi mahitaji ya mtu kim... ...
Usajili wa vituo vya Kulea watoto mchana na Watoto Wachanga  UTARATIBU WA USAJILI WA VITUO VYA KULELEA WATOTO WADOGO MCHANA NA WATOTO WADOGO 1.0 Uta... ...
HUDUMA KWA WAZEE HUDUMA KWA WAZEE NCHINI Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, wanawake na Makundi Maalum kupitia Idara ya Ustawi wa Jamii inarat... ...
Usajili wa Makao ya Watoto   VIAMBATISHO VYA USAJILI WA MAKAO A: MWOMBAJI  BINAFSI Barua ya maombi ya leseni  kwenda kwa Mkurugenzi wa Halmashau... ...
USAJILI WA VITAMBULISHO VYA WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO Zoezi  la  utambuzi  na  usajili  wa  wafanyabiashara  ndogondogo utasimamiwa  na  Mratibu ... ...
Usajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali USAJILI WA NGOs TARATIBU ZA KUSAJILI MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI (NGOs) TANZANIA BARA A. MASHIRIK... ...
Usuluhishi wa Ndoa na Familia ...

HABARI MPYA

WAZIRI DKT. GWAJIMA- UWEZESHAJI WANAWAKE NA WASICHANA UNA MISINGI YA KATIBA YA NCHI.
Na WMJJWM, New York, Marekani Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amesema Tanzania imeweka misingi kwenye Katiba ya nchi kuhusu ajenda ya maende ...
13 Mar, 2025 Soma Zaidi
KIZAZI CHENYE USAWA NI CHACHU YA MAENDELEO -RAIS. DKT. SAMIA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali inaendelea kuweka Sera na Sheria zinazoleta matokeo chanya katika Jamii hasa kwa maeneo ya kutetea haki za Wanawa ...
11 Mar, 2025 Soma Zaidi
UKATILI WA KIJINSIA KATIKA SEKTA YA UTALII BADO NI KIKWAZO CHA MAENDELEO - DKT STERGOMENA TAX
Waziri wa Ulinzi na jeshi la kujenga Taifa Dkt. Stargomena Tax ameitaka jamii kuamka na  kupinga ukatili wa kijinsia kwenye sekta ya utalii kwani licha ya mafanikio ya sekta hiyo, bado wanawake wameku ...
11 Mar, 2025 Soma Zaidi
WANAUME WANA NAFASI KUBWA YA KUTOMEZA UKATILI WA KIJINSIA - DKT. TULIA
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani Dkt. Tulia Ackson amewataka wanaume kuwa mstari wa mbele kuleta mabadiliko ya usawa wa kijinsia kwa kushiriki kwen ...
11 Mar, 2025 Soma Zaidi

TAARIFA KWA UMMA

19 Dec 2024
tangazo kwa mashirika yasiyo ya kiserikali
8 Aug 2024
kulaani vitendo vya unyanyasaji wa wasaidizi wa kazi za ndani
6 Aug 2024
taarifa kwa umma kulaani udhalilishaji wa mwanamke
5 Aug 2024
taarifa kwa umma- uteuzi wa wajumbe wa kamati ya kitaifa ya kuratibu afua za kudhibiti na kuzuia watoto kuishi na kufanya kazi mitaani.
5 Aug 2024
taarifa kwa umma-shukrani kwa rais samia suluhu hassan kwa kukubali matumizi ya majengo ya world vision morogoro kuwa chuo cha maendeleo ya jamii

MATUKIO

Event Date : 12th Feb 2025 - 08th Mar 2025
namba za mawakala wanaosambaza vitenge vitakavyotumika kushona sare katika siku ya maadhimisho ya siku ya wanawake duniani, 8 machi 2025, arusha
Event Date : 12th Feb 2025 - 08th Mar 2025
namba za mawakala wanaosambaza vitenge vitakavyotumika kushona sare katika siku ya maadhimisho ya siku ya wanawake duniani, 8 machi 2025, arusha
Event Date : 12th Feb 2025 - 08th Mar 2025
taarifa muhimu kuhusu vitenge vitakavyotumika kushona sare kwa ajili ya maadhimisho ya siku ya wanawake duniani machi 8, 2025, arusha
Event Date : 11th Feb 2025 - 08th Mar 2025
maadhimisho ya kimataifa ya siku ya wanawake duniani
Event Date : 06th Feb 2025 - 08th Feb 2025
siku ya kimataifa ya kupinga ukeketaji