Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum
Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima
Waziri
Mhe. Maryprisca Winfried Mahundi
Naibu Waziri
Mkurugenzi wa Idara ya maendeleo ya Jinsia kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Badru Alburnoor akiwa na viongozi wa Ushirikiano wa Kimataifa la Ujerumani (GIZ wakiwa wameshika hati za makubaliano ya Utekelezaji wa Mradi wa Kituo cha Mabadiliko ya Kidijitali Tanzania (Digital Transformation Centre – DTC Tanzania) baaada ya kusaini 11 Juni 2026, jijini Dar Es Salaam.
Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Eliakim C. Maswi, akipokea Sera, Sheria na Miongozo mbalimbali ya wizara hiyo kutoka kwa aliyekuwa Katibu Mkuu aliyepita Dkt. John Jingu. Makabidhiano hayo yamefanyika Mei 19, 2026 katika ofisi za Wizara zilizopo Mji wa Serikali Mtumba, Jijini Dodoma.
Bw. Eliakim Chacha Maswi
Katibu Mkuu
Wakili Amon Mpanju
Naibu Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii na Makundi Maalum
AFYA YA AKILI NA MSAADA WA KISAIKOLOJIA
Afya ya Akili, Msaada wa Kisaikolojia na Kijamii, ni huduma endelevu inayolenga kukidhi mahitaji ya mtu kimwi...
...
Usajili wa vituo vya Kulea watoto mchana na Watoto Wachanga
UTARATIBU WA USAJILI WA VITUO VYA KULELEA WATOTO WADOGO MCHANA NA WATOTO WADOGO
1.0 Uta...
...
HUDUMA KWA WAZEE
HUDUMA KWA WAZEE NCHINI
Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, wanawake na Makundi Maalum kupitia Idara ya Ustawi wa Jamii inarat...
...
WANANCHI IBUENI MIRADI YA MALEZI NA MAKUZI BORA YA WATOTO ILI KUJENGA KIZAZI CHENYE MAADILI – WAZIRI DKT. GWAJIMA
Na Saidi Saidi, WMJJWM – Makete, Njombe
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, amewataka wananchi kuibua na kuwekeza katika miradi ya malezi na m ...
NAIBU WAZIRI MAHUNDI AHIMIZA USHIRIKI KIKAMILIFU KATIKA KUJENGA NA KUILINDA MIRADI YA MAENDELEO
Na Jackline Minja, WMJJWM
Ludewa, Njombe
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi amewataka wananchi wa Wilaya ya Ludewa mkoani Njombe ...
WAZIRI DKT. GWAJIMA APONGEZA SHIRIKA LA BRAC MAENDELEO KUIMARISHA MIRADI YA MALEZI NA MAKUZI BORA YA WATOTO NCHINI.
AWATAKA VIONGOZI KUBEBA AJENDA HIYO NA KUSIMAMIA UANZISHWAJI WA VITUO VYA MALEZI NA MAKUZI
Na Saidi Saidi, WMJJWM – Iringa
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mheshimiw ...
UJUZI WA VITENDO NI NGUZO YA KUJITEGEMEA KIUCHUMI - NAIBU WAZIRI MAHUNDI
Na Jackline Minja, WMJJWM
Mafinga - Iringa
Serikali itaendelea kuimarisha utoaji wa mafunzo ya ujuzi wa vitendo ili kuwawezesha wananchi, hususan vijana na wanawake, kujitegemea kiuchumi, kujiajiri ...