Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum
Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima
Waziri
Mhe. Maryprisca Winfried Mahundi
Naibu Waziri
Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Eliakim C. Maswi, akipokea Sera, Sheria na Miongozo mbalimbali ya wizara hiyo kutoka kwa aliyekuwa Katibu Mkuu aliyepita Dkt. John Jingu. Makabidhiano hayo yamefanyika Mei 19, 2026 katika ofisi za Wizara zilizopo Mji wa Serikali Mtumba, Jijini Dodoma.
Bw. Eliakim Chacha Maswi
Katibu Mkuu
Wakili Amon Mpanju
Naibu Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii na Makundi Maalum
AFYA YA AKILI NA MSAADA WA KISAIKOLOJIA
Afya ya Akili, Msaada wa Kisaikolojia na Kijamii, ni huduma endelevu inayolenga kukidhi mahitaji ya mtu kimwi...
...
Usajili wa vituo vya Kulea watoto mchana na Watoto Wachanga
UTARATIBU WA USAJILI WA VITUO VYA KULELEA WATOTO WADOGO MCHANA NA WATOTO WADOGO
1.0 Uta...
...
HUDUMA KWA WAZEE
HUDUMA KWA WAZEE NCHINI
Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, wanawake na Makundi Maalum kupitia Idara ya Ustawi wa Jamii inarat...
...
WAZAZI WAJIPANGE KABLA YA KUAMUA KUWA NA WATOTO, WANAHITAJI MALEZI NA MATUNZO – WAZIRI DKT. GWAJIMA
Na WMJJWMJ - Dar Es Salaam
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, amewataka wanaume kuwa na dhamira na utayari wa kutimiza wajibu wa malezi na ma ...
DKT GWAKIMA ASISITIZA UWEKEZAJI KWA WANAWAKE VIONGOZI UKANDA WA MAZIWA MAKUU
Dar es Salaam.
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, amesema ni muhimu kuwekeza katika kizazi kijacho cha wanawake viongozi nchini Tanzania, kat ...
SERIKALI, WADAU KUJA NA MPANGO SHIRIKISHI KWA VIJANA BALEHE
Na WMJJWM, Arusha
Wadau wanaotekeleza Afua za vijana balehe wametakiwa kushirikisha vijana katika uandaaji na utekelezaji wa Programu Jumuishi ya Taifa ya Afya na Maendeleo ya Vijana Balehe (PJT–AMAV ...
WAZIRI DKT GWAJIMA AITAKA TAHILISO KUTOA ELIMU YA KUZIJUA FURSA ZA KIUCHUMI KWA WANAFUNZI
Na WMJJWM – Dar Es Salaam
Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ameutaka uongozi Jumuiya ya Wanafunzi, Taasisi za elimu ya Juu Tanzania (TAHILISO) ...