Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum
Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima
Waziri
Mhe. Maryprisca Winfried Mahundi
Naibu Waziri
Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Eliakim C. Maswi, akipokea Sera, Sheria na Miongozo mbalimbali ya wizara hiyo kutoka kwa aliyekuwa Katibu Mkuu aliyepita Dkt. John Jingu. Makabidhiano hayo yamefanyika Mei 19, 2026 katika ofisi za Wizara zilizopo Mji wa Serikali Mtumba, Jijini Dodoma.
Bw. Eliakim Chacha Maswi
Katibu Mkuu
Wakili Amon Mpanju
Naibu Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii na Makundi Maalum
AFYA YA AKILI NA MSAADA WA KISAIKOLOJIA
Afya ya Akili, Msaada wa Kisaikolojia na Kijamii, ni huduma endelevu inayolenga kukidhi mahitaji ya mtu kimwi...
...
Usajili wa vituo vya Kulea watoto mchana na Watoto Wachanga
UTARATIBU WA USAJILI WA VITUO VYA KULELEA WATOTO WADOGO MCHANA NA WATOTO WADOGO
1.0 Uta...
...
HUDUMA KWA WAZEE
HUDUMA KWA WAZEE NCHINI
Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, wanawake na Makundi Maalum kupitia Idara ya Ustawi wa Jamii inarat...
...
NAIBU WAZIRI MAHUNDI AWAHIMIZA WANAWAKE MAGEREZA KUJENGA UWEZO, KUTUMIA FURSA ZA KIDIJITALI
NAIBU WAZIRI MAHUNDI AWAHIMIZA WANAWAKE MAGEREZA KUJENGA UWEZO, KUTUMIA FURSA ZA KIDIJITALI
Na Jackline Minja, WMJJWM – Dodoma
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, ...
SERIKALI YAIMARISHA ULINZI WA WATOTO DHIDI YA UKATILI MTANDAONI
Na Jackline Minja, Dodoma
Serikali imeendelea kuimarisha hatua za kulinda watoto dhidi ya ukatili, unyanyasaji, unyonyaji na madhara mengine yanayotokana na matumizi ya mitandao ya kijamii.
Hayo yam ...
CHAMA CHA WAZEE NGUZO YA MALEZI, UPATANISHI, UTUNZAJI MAADILI YA KIJAMII
Na WMJJWM - DODOMA
Serikali imewataka viongozi wa Chama cha Wazee Wanaume Tanzania (CCWWT) kuhakikisha chama hicho kinakuwa chombo muhimu cha malezi, upatanishi na utunzaji wa mila, desturi na maadil ...
REMEMBER THE CHILDREN YAJENGA NYUMBA SABA, KUTOA MAKAZI SALAMA KWA WATOTO 126
Na Mwandishi Wetu Tabora
Shirika la Remember the Children (RTC) limefanikiwa kujenga nyumba saba za makazi zenye uwezo wa kuhudumia takribani watoto 126, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuhakikisha wato ...