Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum

Image 1
Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima
Waziri
Image 1
Mhe. Maryprisca Winfried Mahundi
Naibu Waziri
MoCDGWSG slide photo
MoCDGWSG slide photo
Mkurugenzi wa Idara ya maendeleo ya Jinsia kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Badru Alburnoor akiwa na viongozi wa Ushirikiano wa Kimataifa la Ujerumani (GIZ wakiwa wameshika hati za makubaliano ya Utekelezaji wa Mradi wa Kituo cha Mabadiliko ya Kidijitali Tanzania (Digital Transformation Centre – DTC Tanzania) baaada ya kusaini 11 Juni 2026, jijini Dar Es Salaam.
MoCDGWSG slide photo
MoCDGWSG slide photo
MoCDGWSG slide photo
MoCDGWSG slide photo
Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Eliakim C. Maswi, akipokea Sera, Sheria na Miongozo mbalimbali ya wizara hiyo kutoka kwa aliyekuwa Katibu Mkuu aliyepita Dkt. John Jingu. Makabidhiano hayo yamefanyika Mei 19, 2026 katika ofisi za Wizara zilizopo Mji wa Serikali Mtumba, Jijini Dodoma.
Image 1
Bw. Eliakim Chacha Maswi
Katibu Mkuu
Image 1
Wakili Amon Mpanju
Naibu Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii na Makundi Maalum
Image 1
Bi. Felister Peter Mdemu
Naibu Katibu Mkuu Maendeleo ya Jinsia na Wanawake

HUDUMA ZETU

Malezi ya Kambo na Kuasili ...
AFYA YA AKILI NA MSAADA WA KISAIKOLOJIA Afya ya Akili, Msaada wa Kisaikolojia na Kijamii, ni huduma endelevu inayolenga kukidhi mahitaji ya mtu kimwi... ...
Usajili wa vituo vya Kulea watoto mchana na Watoto Wachanga  UTARATIBU WA USAJILI WA VITUO VYA KULELEA WATOTO WADOGO MCHANA NA WATOTO WADOGO 1.0 Uta... ...
HUDUMA KWA WAZEE HUDUMA KWA WAZEE NCHINI Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, wanawake na Makundi Maalum kupitia Idara ya Ustawi wa Jamii inarat... ...
Usajili wa Makao ya Watoto   VIAMBATISHO VYA USAJILI WA MAKAO A: MWOMBAJI  BINAFSI Barua ya maombi ya leseni  kwenda kwa Mkurugenzi wa Halmashau... ...
USAJILI WA VITAMBULISHO VYA WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO Zoezi  la  utambuzi  na  usajili  wa  wafanyabiashara  ndogondogo utasimamiwa  na  Mratibu ... ...
Usajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali USAJILI WA NGOs TARATIBU ZA KUSAJILI MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI (NGOs) TANZANIA BARA A. MASHIRIK... ...
Usuluhishi wa Ndoa na Familia ...

KAMPENI

HABARI MPYA

WANANCHI IBUENI MIRADI YA MALEZI NA MAKUZI BORA YA WATOTO ILI KUJENGA KIZAZI CHENYE MAADILI – WAZIRI DKT. GWAJIMA
Na Saidi Saidi, WMJJWM – Makete, Njombe Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, amewataka wananchi kuibua na kuwekeza katika miradi ya malezi na m ...
14 Jul, 2026 Soma Zaidi
NAIBU WAZIRI MAHUNDI AHIMIZA USHIRIKI KIKAMILIFU KATIKA KUJENGA NA KUILINDA MIRADI YA MAENDELEO
Na Jackline Minja, WMJJWM Ludewa, Njombe Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi amewataka wananchi wa Wilaya ya Ludewa mkoani Njombe ...
14 Jul, 2026 Soma Zaidi
WAZIRI DKT. GWAJIMA APONGEZA SHIRIKA LA BRAC MAENDELEO KUIMARISHA MIRADI YA MALEZI NA MAKUZI BORA YA WATOTO NCHINI.
AWATAKA VIONGOZI KUBEBA AJENDA HIYO NA KUSIMAMIA UANZISHWAJI WA VITUO VYA MALEZI NA MAKUZI Na Saidi Saidi, WMJJWM – Iringa Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mheshimiw ...
14 Jul, 2026 Soma Zaidi
UJUZI WA VITENDO NI NGUZO YA KUJITEGEMEA KIUCHUMI - NAIBU WAZIRI MAHUNDI
Na Jackline Minja, WMJJWM Mafinga - Iringa Serikali itaendelea kuimarisha utoaji wa mafunzo ya ujuzi wa vitendo ili kuwawezesha wananchi, hususan vijana na wanawake, kujitegemea kiuchumi, kujiajiri ...
13 Jul, 2026 Soma Zaidi

TAARIFA KWA UMMA

30 Jun 2026
kuunganishwa kwa vyuo vya maendeleo ya jamii, vyuo vya maendeleo ya jamii ufundi na taasisi ya maendeleo ya jamii tengeru
29 Jun 2026
uteuzi wa mwenyekiti wa bodi ya uendeshaji ya taasisi ya maendeleo ya jamii tengeru
31 Jan 2026
fursa za mikopo wafanyabiashara ndogondogo
29 May 2025
fomu ya kujiunga na masomo katika chuo cha buhare,monduli,ruaha,rungemba,mlale,uyole,2025/2026
29 May 2025
fomu ya kujiunga na masomo katika chuo cha maendeleo ya jamii misungwi na mabughai 2025/2026

MATUKIO

GHARAMA USHIRIKI WA KONGAMANO NA MKUTANO MKUU - CODEPATA 2026
Event Date : 17 Jun 2026 - 19 Jun 2026
20 May, 2026 Soma Zaidi
KONGAMANO NA MKUTANO MKUU WA WATAALAM WA MAENDELEO YA JAMII TANZANIA (CODEPATA) 2026
Event Date : 17 Jun 2026 - 19 Jun 2026
20 May, 2026 Soma Zaidi
Namba za mawakala wanaosambaza vitenge vitakavyotumika kushona sare katika siku ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, 8 Machi 2025, Arusha
Event Date : 12 Feb 2025 - 08 Mar 2025
12 Feb, 2025 Soma Zaidi
Namba za mawakala wanaosambaza vitenge vitakavyotumika kushona sare katika siku ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, 8 Machi 2025, Arusha
Event Date : 12 Feb 2025 - 08 Mar 2025
12 Feb, 2025 Soma Zaidi
Taarifa muhimu kuhusu vitenge vitakavyotumika kushona sare kwa ajili ya maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani machi 8, 2025, Arusha
Event Date : 12 Feb 2025 - 08 Mar 2025
12 Feb, 2025 Soma Zaidi

slot gacor