Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum

Image 1
Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima
Waziri
Image 1
Mhe. Maryprisca Winfried Mahundi
Naibu Waziri
MoCDGWSG slide photo
MoCDGWSG slide photo
MoCDGWSG slide photo
MoCDGWSG slide photo
MoCDGWSG slide photo
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi, akikagua ujenzi wa bweni la wasichana katika Chuo cha Maendeleo ya Jamii Uyole, Jijini Mbeya baada ya kufanya ziara maalum tarehe 05 Januari 2025.
MoCDGWSG slide photo
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mhandisi MaryPrisca Mahundi akiwa katika picha na viongozi pamoja na wajumbe wa Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi Jiji la Dodoma Novemba 28,2025
MoCDGWSG slide photo
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum,Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, akivishwa skafu na watoto wa Shule ya Msingi Martin Luther, mkoani Dodoma, Novemba 26, 2025, wakati alipowasili kuzungumza na watoto hao kuhusu matumizi ya mitandao na athari zake kwao kuelekea likizo ya mwisho wa mwaka.
MoCDGWSG slide photo
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima akiwa na Naibu wake Mhe. Mhandisi MaryPrisca mara baada ya kupokelewa na Menejmenti na Watumishi wa Wizara katika Ofisi za Wizara Mtumba jijini Dodoma tarehe 18 Novemba, 2025. Wengine ni Katibu Mkuu Dkt. John Jingu na Naibu Katibu Mkuu Wakili Amon Mpanju.
MoCDGWSG slide photo
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi MaryPrisca Mahundi akiwa katika picha na mmoja ya kikundi cha Malezi Mkoa wa Ddodoma mara baada ya kuzungumza na wanavikundi vya malezi na matunzo ya watoto Kata ya Ihumwa Jijini Dodoma tarehe 27 Novemba, 2025.
MoCDGWSG slide photo
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Felister Mdemu (wa tatu kushoto) akiwa katika Mkutano Mkuu wa 21 wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo ya Viwanda (UNIDO’s General Conference) unaohitimishwa jijini Riyadh, Saudi Arabia, Novemba 27, 2025.
Image 1
Dkt. John Jingu
Katibu Mkuu
Image 1
Wakili Amon Mpanju
Naibu Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii na Makundi Maalum
Image 1
Bi. Felister Peter Mdemu
Naibu Katibu Mkuu Maendeleo ya Jinsia na Wanawake

HUDUMA ZETU

Malezi ya Kambo na Kuasili ...
AFYA YA AKILI NA MSAADA WA KISAIKOLOJIA Afya ya Akili, Msaada wa Kisaikolojia na Kijamii, ni huduma endelevu inayolenga kukidhi mahitaji ya mtu kimwi... ...
Usajili wa vituo vya Kulea watoto mchana na Watoto Wachanga  UTARATIBU WA USAJILI WA VITUO VYA KULELEA WATOTO WADOGO MCHANA NA WATOTO WADOGO 1.0 Uta... ...
HUDUMA KWA WAZEE HUDUMA KWA WAZEE NCHINI Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, wanawake na Makundi Maalum kupitia Idara ya Ustawi wa Jamii inarat... ...
Usajili wa Makao ya Watoto   VIAMBATISHO VYA USAJILI WA MAKAO A: MWOMBAJI  BINAFSI Barua ya maombi ya leseni  kwenda kwa Mkurugenzi wa Halmashau... ...
USAJILI WA VITAMBULISHO VYA WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO Zoezi  la  utambuzi  na  usajili  wa  wafanyabiashara  ndogondogo utasimamiwa  na  Mratibu ... ...
Usajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali USAJILI WA NGOs TARATIBU ZA KUSAJILI MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI (NGOs) TANZANIA BARA A. MASHIRIK... ...
Usuluhishi wa Ndoa na Familia ...

KAMPENI

HABARI MPYA

NAIBU WAZIRI MAHUNDI ATEMBELEA MAKAZI YA WAZEE, ASISITIZA UPENDO NA MATUNZO KWAKUWA WAZEE NI TUNU YA TAIFA.
Na Jackline Minja, WMJJWM Dar Es Salaam Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi amewasihi watu wenye uwezo kuwatunza wazazi na ndugu i ...
23 Feb, 2026 Soma Zaidi
SERIKALI YAIMARISHA HUDUMA NA MAZINGIRA MAKAZI YA WAZEE
Na Jackline Minja, WMJJWM Dar Es Salaam Dar Es Salaam Serikali imeendelea kuimarisha huduma na mazingira katika Makazi ya Wazee na Wasiojiweza kwa lengo la kuhakikisha wazee wanaishi kwa heshima, us ...
23 Feb, 2026 Soma Zaidi
WAZEE WAHESHIMIWE, KUENZIWA - MAHUNDI
Na Jackline Minja, WMJJWM Dar Es Salaam Serikali imesema itaendelea kuimarisha huduma za afya, hifadhi ya jamii na ustawi wa wazee nchini ili kuwawezesha kuishi maisha yenye heshima, usalama na furah ...
23 Feb, 2026 Soma Zaidi
SERIKALI YALENGA KUPUNGUZA PENGO LA KIJINSIA KUPITIA MIFUMO YA BAJETI
Na Jackline Minja WMJJWM, Dodoma Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Felister Mdemu, amesema Serikali imeanza rasmi hatua muhimu ya kuhakikisha baje ...
20 Feb, 2026 Soma Zaidi

TAARIFA KWA UMMA

31 Jan 2026
fursa za mikopo wafanyabiashara ndogondogo
29 May 2025
fomu ya kujiunga na masomo katika chuo cha buhare,monduli,ruaha,rungemba,mlale,uyole,2025/2026
29 May 2025
fomu ya kujiunga na masomo katika chuo cha maendeleo ya jamii misungwi na mabughai 2025/2026
13 May 2025
tangazo kwa wamiliki wa vituo vya kulelea watoto wadogo mchana kuchukua vyeti vyao
19 Dec 2024
tangazo kwa mashirika yasiyo ya kiserikali

MATUKIO

Namba za mawakala wanaosambaza vitenge vitakavyotumika kushona sare katika siku ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, 8 Machi 2025, Arusha
Event Date : 12 Feb 2025 - 08 Mar 2025
12 Feb, 2025 Soma Zaidi
Namba za mawakala wanaosambaza vitenge vitakavyotumika kushona sare katika siku ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, 8 Machi 2025, Arusha
Event Date : 12 Feb 2025 - 08 Mar 2025
12 Feb, 2025 Soma Zaidi
Taarifa muhimu kuhusu vitenge vitakavyotumika kushona sare kwa ajili ya maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani machi 8, 2025, Arusha
Event Date : 12 Feb 2025 - 08 Mar 2025
12 Feb, 2025 Soma Zaidi
Maadhimisho ya Kimataifa ya Siku ya Wanawake Duniani
Event Date : 11 Feb 2025 - 08 Mar 2025
11 Feb, 2025 Soma Zaidi
SIKU YA KIMATAIFA YA KUPINGA UKEKETAJI
Event Date : 06 Feb 2025 - 08 Feb 2025
06 Feb, 2025 Soma Zaidi