Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum

Ufuatiliaji na Tathmini

MAJUKUMU YA KITENGO CHA UFUATILIAJI NA TATHMINI

  1. Kufuatilia na kutathmini utekelezaji wa Sera, Mpango Mkakati wa Muda wa Kati wa Wizara, mipango ya mwaka, bajeti, programu na miradi kulingana na Mipango ya Kitaifa;
  2. Kufuatilia na kutathmini Maeneo Muhimu ya Matokeo ya Kitaifa (NKRAs) kwa Wizara;
  3. Kufanya tathmini ya athari (impact assessments) ya mipango, programu na miradi iliyo chini ya Wizara;
  4. Kuandaa na kutekeleza Mfumo wa Ufuatiliaji na Tathmini ya Wizara;
  5. Kufuatilia utekelezaji wa mapendekezo ya tathmini;
  6. Kutayarisha ripoti za mara kwa mara za U&T kuhusu NKRAs ndani ya Wizara;
  7. Kufuatilia na kutathmini utekelezaji wa Ilani ya Chama Tawala na Maagizo ya Serikali;
  8. Kufuatilia na kutathmini utendaji kazi wa Wizara wa vipindi na dharura;
  9. Kufuatilia utendaji wa taasisi zilizo chini ya Wizara;
  10. Kuratibu mapitio ya utendaji wa kitaasisi/ Mfumo wa Kusimamia Utendaji Kazi wa Taasisi za Umma (PIPMIS); na
  11. Kuwa chanzo na mtunzaji wa Takwimu za Wizara.

    MAJUKUMU YA KITENGO CHA UFUATILIAJI NA TATHMINI

  12. Kufuatilia na kutathmini utekelezaji wa Sera, Mpango Mkakati wa Muda wa Kati wa Wizara, mipango ya mwaka, bajeti, programu na miradi kulingana na Mipango ya Kitaifa;
  13. Kufuatilia na kutathmini Maeneo Muhimu ya Matokeo ya Kitaifa (NKRAs) kwa Wizara;
  14. Kufanya tathmini ya athari (impact assessments) ya mipango, programu na miradi iliyo chini ya Wizara;
  15. Kuandaa na kutekeleza Mfumo wa Ufuatiliaji na Tathmini ya Wizara;
  16. Kufuatilia utekelezaji wa mapendekezo ya tathmini;
  17. Kutayarisha ripoti za mara kwa mara za U&T kuhusu NKRAs ndani ya Wizara;
  18. Kufuatilia na kutathmini utekelezaji wa Ilani ya Chama Tawala na Maagizo ya Serikali;
  19. Kufuatilia na kutathmini utendaji kazi wa Wizara wa vipindi na dharura;
  20. Kufuatilia utendaji wa taasisi zilizo chini ya Wizara;
  21. Kuratibu mapitio ya utendaji wa kitaasisi/ Mfumo wa Kusimamia Utendaji Kazi wa Taasisi za Umma (PIPMIS); na
  22. Kuwa chanzo na mtunzaji wa Takwimu za Wizara.