Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum

Makazi ya Wazee Sukamahela

Makazi haya yapo wilayani Manyoni mkoani Singida

Huduma zinazotolewa:

  1. Mahitaji ya Msingi(Chakula, Malazi& Mavazi

  2. Huduma za Afya

  3. Msaada wa Kisaikolojia na Kijamii

  4. Kuunganisha Wazee na Familia zao

  5. Huduma za Kiroho