Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum

Usajili wa Nyumba Salama

VIGEZO VYA NYUMBA SALAMA

  1. Hati miliki ya eneo/ Mkataba wa kupanga majengo wa miaka 3
  2. Utambulisho wa Nyumba kutoka Ofisi ya Mtendaji wa Kata
  3. Cheti cha Usajili wa Shirika
  4. Katiba ya Shirika
  5. Barua ya commitment ya ufadhili kutoka kwa mmiliki/Mfadhili
  6. Bank statement ya miezi 6
  7. Fomu na 1
  8. Fomu Na. 2
  9. Taarifa ya uchunguzi wa kijamii ya Afisa Ustawi wa Jamii
  10. Taarifa ya Uchunguzi wa Mazingira Kiafya ya Afisa Afya
  11. Cheti cha Mtaalam wa Ustawi wa Jamii- Diploma+
  12. Cheti cha Mlezi wa Watoto- Certificate+
  13. Cheti cha Afisa Tabibu- Diploma+ IWAPO HAKUNA KITUO CHA HUDUMA ZA AFYA KARIBU NA NYUMBA.
  14. Walinzi –mmoja Mwanamke