Habari

WABUNGE WATAKA HALMASHAURI KUREJESHA MIKOPO YA WDF ILIYOLENGA KUWANUFAISHA WANAWAKE

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Ustawi wa Jamii imeishauri Serikali kuweka mfumo imara wa kuhakikisha Halmashauri zilizopata mikopo ya Mfuko wa Maendeleo wa Wanawake (WDF) zinarejesha fedha hizo ili na wengine wanufaike.... Soma zaidi

Imewekwa: Jan 19, 2024

MAFUNZO YA WARATIBU WA GEF

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Seif Shekalaghe amefunga Mafunzo ... Soma zaidi

Imewekwa: Jan 10, 2024

SERIKALI KUSHIRIKIANA NA WADAU MWONGOZO WA KUSAIDIA WAHITAJI

​Serikali itaendelea kushirikiana na Wadau ndani ya Jamii kuhakikisha ustawi wa makundi maalum unaimarishwa ili makundi hayo hasa watoto yanufaike zaidi.... Soma zaidi

Imewekwa: Jan 03, 2024

​WAZIRI GWAJIMA AKAGUA FUKWE NA VITUO VYA MASAJI KUBAINI VICHOCHEO VYA MMOMONYOKO WA MAADIL

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amewaomba viongozi wa Mamlaka za Mikoa na Serikali za Mitaa zenye fukwe nchini kuhakikisha wanafuatilia na kubaini mianya ya kuchochea mmomonyoko wa maadili na ukatili wa kijinsia na kuchukua hatua haraka.... Soma zaidi

Imewekwa: Nov 01, 2023

TANZANIA MWENYEJI MKUTANO WA 11 WA MERCK FOUNDATION 2024.

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amebainisha kwamba, Mkutano wa 11 wa Taasisi ya Merck Foundation utafanyika Tanzania kwa mwaka 2024.... Soma zaidi

Imewekwa: Oct 20, 2023

WAZIRI DKT. GWAJIMA AWAELIMISHA WANAWAKE WA OLEVOLOS KUCHANGAMKIA FURSA.

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imedhamiria kuwainua wanawake kiuchumi kwa kuweka msingi unaochochea mabadiliko yanayojielekeza kukua kiuchumi.... Soma zaidi

Imewekwa: Oct 20, 2023