Habari

​TUPANUE WIGO KUTAMBUA MATATIZO YANAYOSABABISHA AFYA DUNI YA AKILI- SERIKALI

Wataalam wa Ustawi wa Jamii wanaotoa huduma ya afya ya akili na msaada wa kisaikolojia wameaswa kuongeza wigo wa huduma hiyo ili kuisaidia jamii na matatizo ya Afya ya akili na saikolojia.... Soma zaidi

Imewekwa: Sep 19, 2023

TANZANIA YAWASILISHA TAARIFA YA GEF KWENYE MKUTANO WA MID POINT MAREKANI

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amemwakilisha Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa kipindi cha Kati cha Jukwaa la Kizazi chenye usawa (Mid Point) uliofanyika Septemba 17, 2023 jijini New York nchini Marekani.... Soma zaidi

Imewekwa: Sep 18, 2023

BUHARE YAHIMIZWA KUKAMILISHA UJENZI WA MIUNDOMBINU

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe Mwanaidi Ali Khamis amekitaka Chuo cha Maendeleo ya Jamii Buhare kukamilisha mradi wa ujenzi wa jengo la mihadhara ... Soma zaidi

Imewekwa: Sep 15, 2023

NAIBU WAZIRI MWANAIDI AITAKA JAMII KUVUNJA UKIMYA VITENDO VYA UKATILI

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe Mwanaidi Ali Khamis ameitaka jamii kutokukaa kimya na kunyamazia vitendo vya ukatili vinavyotokea ili kuwa na Jamii iliyo salama hasa kwa Wanawake na Watoto.... Soma zaidi

Imewekwa: Sep 13, 2023

​TUNAHITAJI KUTUMIA KILA AINA YA UBUNIFU KATIKA KUWALINDA WATOTO WETU - WAZIRI DKT. GWAJIMA

Wamiliki wa kumbi za starehe na Washereheshaji(MC) nchini, wametakiwa kuzingatia Sheria ya Mtoto ya Mwaka 2009 ili kuwaepusha watoto na wimbi la mmomonyoko wa maadili.... Soma zaidi

Imewekwa: Sep 13, 2023

WAZIRI GWAJIMA AIPONGEZA CRDB KUWEZESHA WANAWAKE KIUCHUMI

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amesema programu ya kuwawezesha wanawake na vijana kiuchumi iitwayo iMBEJU iliyoanzishwa na benki ya CRDB ... Soma zaidi

Imewekwa: Sep 11, 2023