Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum
Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima
Waziri
Mhe. Maryprisca Winfried Mahundi
Naibu Waziri
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Felister Mdemu akiwa na ujumbe wa Wizara katika mkutano wa 70 wa Hali ya Wanawake Duniani (CSW 70) uliofanyika Machi 10, 2026 jijini New York nchini Marekani
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, akizindua rasmi Mradi wa PAMOJA (Project for Advancing Gender Equality in Tanzania) wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani yaliyofanyika tarehe 8 Machi 2026 mkoani Geita.
Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake ambayo yaliyofanyika Mkoani Geita Machi 08, 2026 yameongozwa na Kaulimbiu isemayo "Haki na Usawa kwa Wanawake na Wasichana; Msingi Jumuishi kufikia Dira 2050". Wasanii na Vikundi mbalimbali vya burudani vimesajiisha kauli hiyo kwa njia tofauti tofauti.
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi, akikagua ujenzi wa bweni la wasichana katika Chuo cha Maendeleo ya Jamii Uyole, Jijini Mbeya baada ya kufanya ziara maalum tarehe 05 Januari 2025.
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mhandisi MaryPrisca Mahundi akiwa katika picha na viongozi pamoja na wajumbe wa Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi Jiji la Dodoma Novemba 28,2025
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum,Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, akivishwa skafu na watoto wa
Shule ya Msingi Martin Luther, mkoani Dodoma, Novemba 26, 2025, wakati alipowasili kuzungumza na watoto hao kuhusu matumizi ya mitandao na athari zake kwao kuelekea likizo ya mwisho wa mwaka.
Dkt. John Jingu
Katibu Mkuu
Wakili Amon Mpanju
Naibu Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii na Makundi Maalum
AFYA YA AKILI NA MSAADA WA KISAIKOLOJIA
Afya ya Akili, Msaada wa Kisaikolojia na Kijamii, ni huduma endelevu inayolenga kukidhi mahitaji ya mtu kimwi...
...
Usajili wa vituo vya Kulea watoto mchana na Watoto Wachanga
UTARATIBU WA USAJILI WA VITUO VYA KULELEA WATOTO WADOGO MCHANA NA WATOTO WADOGO
1.0 Uta...
...
HUDUMA KWA WAZEE
HUDUMA KWA WAZEE NCHINI
Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, wanawake na Makundi Maalum kupitia Idara ya Ustawi wa Jamii inarat...
...
MAHUNDI AWAHIMIZA WAUMINI WA DINI ZOTE NCHINI KUENDELEA KUISHI KWA UPENDO NA AMANI.
Na Jackline Minja – WMJJWM, Mbeya
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi amewaomba Wakristo na Waislamu mkoani Mbeya kuendelea kuten ...
WANAWAKE MBEYA WAHAMASISHWA KUJITEGEMEA KIUCHUMI KUPITIA MIKOPO YA SERIKALI
Na Jackline Minja, WMJJWM – Mbeya
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum na Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mbeya kupitia kundi la wanawake, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mah ...
TANZANIA YASHIRIKI MKUTANO WA UMOJA WA AFRIKA (AU) MASUALA YA WANAWAKE NA JINSIA KATIKA MKUTANO WA CSW 70.
Na WMJJWM-New York Marekani
Tanzania imeshiriki Mkutano wa masuala ya Jinsia na Wanawake wa nchi Wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) kando ya Mkutano wa 70 wa Hali ya Wanawake Duniani unaoendelea jijin ...
KAMATI YA BUNGE YAPONGEZA SERIKALI KWA HUDUMA KWA WAZEE NCHINI
Na Jackline Minja, WMJJWM – Moshi
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya imetembelea na kukagua Makazi ya Wazee yanayomilikiwa na Serikali yaliyopo Njiro Mkoani Kilimanjaro, kwa lengo la ...