Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum

Image 1
Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima
Waziri
Image 1
Mhe. Maryprisca Winfried Mahundi
Naibu Waziri
MoCDGWSG slide photo
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mhandisi MaryPrisca Mahundi akiwa katika picha na viongozi pamoja na wajumbe wa Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi Jiji la Dodoma Novemba 28,2025
MoCDGWSG slide photo
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum,Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, akivishwa skafu na watoto wa Shule ya Msingi Martin Luther, mkoani Dodoma, Novemba 26, 2025, wakati alipowasili kuzungumza na watoto hao kuhusu matumizi ya mitandao na athari zake kwao kuelekea likizo ya mwisho wa mwaka.
MoCDGWSG slide photo
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima akiwa na Naibu wake Mhe. Mhandisi MaryPrisca mara baada ya kupokelewa na Menejmenti na Watumishi wa Wizara katika Ofisi za Wizara Mtumba jijini Dodoma tarehe 18 Novemba, 2025. Wengine ni Katibu Mkuu Dkt. John Jingu na Naibu Katibu Mkuu Wakili Amon Mpanju.
MoCDGWSG slide photo
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi MaryPrisca Mahundi akiwa katika picha na mmoja ya kikundi cha Malezi Mkoa wa Ddodoma mara baada ya kuzungumza na wanavikundi vya malezi na matunzo ya watoto Kata ya Ihumwa Jijini Dodoma tarehe 27 Novemba, 2025.
MoCDGWSG slide photo
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Felister Mdemu (wa tatu kushoto) akiwa katika Mkutano Mkuu wa 21 wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo ya Viwanda (UNIDO’s General Conference) unaohitimishwa jijini Riyadh, Saudi Arabia, Novemba 27, 2025.
MoCDGWSG slide photo
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima (katikati), akiwa katika picha na Naibu wake Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi ( wa nne kushoto) , Wakurugenzi na Wakuu wa Taasisi na Vyo vya Maendeleo ya Jamii mara baada ya kikao na Watumishi wa Wizara hiyo kilicholenga la kuboresha utendaji kazi ili kuifikia Jamii na kuihudumia kwa kasi na ufanisi zaidi. Kikao hicho kimefanyika Novemba 25, 2025 Mtumba jijini Dodoma.
MoCDGWSG slide photo
Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. John Jingu akiwa katika picha ya pamoja na uongozi kutoka Shirika lisilo la Kiserikali linalosaidia watoto wasio kuwa na malezi ya wazazi na familia zilizo katika hatari (SOS CHILDREN'S VILLAGES) mara bbada ya Kikao hicho kilichofanyia tarehe 26 Novemba, 2025 katika Ofisi yake Mtumba Jijini Dodoma.
MoCDGWSG slide photo
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Felista Mdemu akigawa hundi ya Shilingi Milioni 337 kwa wanufaika wa Mkopo wa Mfuko wa Maendeleo ya Wanawake (WDF) tarehe 14 Novemba, 2025 katika ukumbi wa Wizara hiyo uliopo Mji wa Serikali Mtumba Jijini Dodoma.
MoCDGWSG slide photo
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Mkaundi Maaalum Dkt. John Jingu, tarehe 24 Oktoba, 2025 amegawa pikipiki nane (8) kwa Maafisa Maendeleo ya Jamii wa ngazi ya kata mkoani Njombe huku akiwataka Maafisa Maendeleo ya Jamii Mkoani Njombe kutunza na kutumia kwa umakini pikipiki walizopewa na Serikali kwa ajili ya kuboresha utendaji na utoaji huduma kwa wananchi.
MoCDGWSG slide photo
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Wakili Amon Mpanju tarehe 24 Oktoba 2024 amekabidhi pikipiki nane (8) kwa Maafisa Maendeleo ya Jamii mkoa wa Geita kutpka Kata za Muganza, Kigongo, Lwamgasa, Shabaka, Uyovu, Namonge, Masumbwe na Lulembela katika hafla fupi iliyofanyika katika viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa huo.
Image 1
Dkt. John Jingu
Katibu Mkuu
Image 1
Wakili Amon Mpanju
Naibu Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii na Makundi Maalum
Image 1
Bi. Felister Peter Mdemu
Naibu Katibu Mkuu Maendeleo ya Jinsia na Wanawake

HUDUMA ZETU

Malezi ya Kambo na Kuasili ...
AFYA YA AKILI NA MSAADA WA KISAIKOLOJIA Afya ya Akili, Msaada wa Kisaikolojia na Kijamii, ni huduma endelevu inayolenga kukidhi mahitaji ya mtu kimwi... ...
Usajili wa vituo vya Kulea watoto mchana na Watoto Wachanga  UTARATIBU WA USAJILI WA VITUO VYA KULELEA WATOTO WADOGO MCHANA NA WATOTO WADOGO 1.0 Uta... ...
HUDUMA KWA WAZEE HUDUMA KWA WAZEE NCHINI Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, wanawake na Makundi Maalum kupitia Idara ya Ustawi wa Jamii inarat... ...
Usajili wa Makao ya Watoto   VIAMBATISHO VYA USAJILI WA MAKAO A: MWOMBAJI  BINAFSI Barua ya maombi ya leseni  kwenda kwa Mkurugenzi wa Halmashau... ...
USAJILI WA VITAMBULISHO VYA WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO Zoezi  la  utambuzi  na  usajili  wa  wafanyabiashara  ndogondogo utasimamiwa  na  Mratibu ... ...
Usajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali USAJILI WA NGOs TARATIBU ZA KUSAJILI MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI (NGOs) TANZANIA BARA A. MASHIRIK... ...
Usuluhishi wa Ndoa na Familia ...

KAMPENI

HABARI MPYA

DKT JINGU AIKARIBISHA BENKI YA MAENDELEO
Wafanyabiashara ndogondogo kunufaika na Mikopo ya nyumba Na Abdala Sifi WMJJWM- Dar Es Salaam Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. John Jingu amekutan ...
29 Nov, 2025 Soma Zaidi
MIONGOZO ITAKUWA RAFIKI KWENYE UPATIKANAJI WA MIKOPO KWA WANAWAKE DODOMA: NAIBU WAZIRI MARYPRISCA
Na Jackline Minja WMJJWM-  Dodoma. Wizara kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkoa wa Dodoma itaendelea kushirikiana kwa karibu na jukwaa la viongozi la uwezeshaji wanawake kiuchumi jijini Dodoma, kwa kuhak ...
29 Nov, 2025 Soma Zaidi
WAZIRI GWAJIMA ATOA WITO KUHUSU USALAMA WA MTOTO MTANDAONI, AWASISITIZA WAZAZI KUWASIMAMIA WATOTO WAKATI WA LIKIZO
WAZIRI GWAJIMA ATOA WITO KUHUSU USALAMA WA MTOTO MTANDAONI, AWASISITIZA WAZAZI KUWASIMAMIA WATOTO WAKATI WA LIKIZO Na Saidi Saidi WMJJWM - DODOMA Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Ma ...
28 Nov, 2025 Soma Zaidi
MIKOPO IWE CHACHU YA KUKUA KIUCHUMI NA KUZITUNZA FAMILIA ZENU – MHE. MARYPRISCA
MIKOPO IWE CHACHU YA KUKUA KIUCHUMI NA KUZITUNZA FAMILIA ZENU – MHE. MARYPRISCA  Na Jackline Minja MJJWM, Dodoma. Serikali imeendelea kuanzisha  Majukwaa ya Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi  kuanzia nga ...
28 Nov, 2025 Soma Zaidi

TAARIFA KWA UMMA

29 May 2025
fomu ya kujiunga na masomo katika chuo cha buhare,monduli,ruaha,rungemba,mlale,uyole,2025/2026
29 May 2025
fomu ya kujiunga na masomo katika chuo cha maendeleo ya jamii misungwi na mabughai 2025/2026
13 May 2025
tangazo kwa wamiliki wa vituo vya kulelea watoto wadogo mchana kuchukua vyeti vyao
19 Dec 2024
tangazo kwa mashirika yasiyo ya kiserikali
8 Aug 2024
kulaani vitendo vya unyanyasaji wa wasaidizi wa kazi za ndani

MATUKIO

Namba za mawakala wanaosambaza vitenge vitakavyotumika kushona sare katika siku ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, 8 Machi 2025, Arusha
Event Date : 12 Feb 2025 - 08 Mar 2025
12 Feb, 2025 Soma Zaidi
Namba za mawakala wanaosambaza vitenge vitakavyotumika kushona sare katika siku ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, 8 Machi 2025, Arusha
Event Date : 12 Feb 2025 - 08 Mar 2025
12 Feb, 2025 Soma Zaidi
Taarifa muhimu kuhusu vitenge vitakavyotumika kushona sare kwa ajili ya maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani machi 8, 2025, Arusha
Event Date : 12 Feb 2025 - 08 Mar 2025
12 Feb, 2025 Soma Zaidi
Maadhimisho ya Kimataifa ya Siku ya Wanawake Duniani
Event Date : 11 Feb 2025 - 08 Mar 2025
11 Feb, 2025 Soma Zaidi
SIKU YA KIMATAIFA YA KUPINGA UKEKETAJI
Event Date : 06 Feb 2025 - 08 Feb 2025
06 Feb, 2025 Soma Zaidi