Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt John Jingu akipokea tuzo ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mchango wake katika uboreshaji huduma za ustawi wa Jamii wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Ustawi wa Jamii katika Viwanja vya Chuo cha Ustawi wa Jamii Kijitonyama Dar Es Salaam Agosti 30, 2025.
Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt John Jingu akipokea tuzo ya Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mchango wake katika...wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Ustawi wa Jamii katika Viwanja vya Chuo cha Ustawi wa Jamii Kijitonyama Dar Es Salaam Agosti 30, 2025.
Washiriki mbalilmbali katika Wiki ya Ustawi wa Jamii iliyoanza kufanyika kuanzia tarehe 25 - 30 Agosti, 2025, katika Viwanja vya Taasisi ya Ustawi wa Jamii, Kijitonyama Dar Es Salaam
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima akiwa na Kamati ya Kitaifa ya Kuratibu Uanzishwaji wa Mfuko wa Pamoja wa Ruzuku kwa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NBF) katika Kongamano la Mwaka la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali 2025, Agosti 13, 2025, jijini Dodoma.
Watoto wakiwa katika maandamano katika Maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika 2025 katika viwanja vya Chuo cha Ustawi wa Jamii Kijitonyama Dar Es Salaam Juni 17, 2025.
Waziri wa Maendeleo ya Jamii. Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima akiwasilisha bajeti ya Wizara kwa mwaka wa fedha 2025/2026, Bungeni jijini Dodoma Mei 27, 2025
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima (Mb), akitoa salamu za shukrani kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kufuatia ziara rasmi ya Mhe. Rais Alexander Stubb wa Jamhuri ya Finland katika Soko la Machinga Complex jijini Dar Es Salaam, 16 Mei,2025
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko akimkabidhi tuzo Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima kutoka Chama cha Wataalam wa Maendeleo ya Jamii (CODEPATA) kwa kutambua mchango wake katika Kada hiyo wakati wa Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Wataalam hao uliofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Mei 7, 2025 jijini Dodoma.
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, akizindua rasmi huduma za Mahabusu ya Watoto mkoani Mtwara tarehe 12 Aprili 2025. Uzinduzi huu ni hatua muhimu katika kulinda haki za watoto, kuwapatia elimu, na kuimarisha mifumo ya ulinzi na ustawi wao.
Waziri wa Maendeleo ya Jamiii Jinsia Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima katika Hafla ya kupokea nakala ya Vitabu vya Mwongozo wa uundaji na uratibu wa Jukwa la uwezeshaji wanawake kiuchumi,April 08, 2025 - Dar es Salaam, April 08, 2025 - Dar es Salaam