Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum

Image 1
Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima
Waziri
Image 1
Mhe. Mwanaidi Ali Khamis
Naibu Waziri
MoCDGWSG slide photo
Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt John Jingu akipokea tuzo ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mchango wake katika uboreshaji huduma za ustawi wa Jamii wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Ustawi wa Jamii katika Viwanja vya Chuo cha Ustawi wa Jamii Kijitonyama Dar Es Salaam Agosti 30, 2025.
MoCDGWSG slide photo
Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt John Jingu akipokea tuzo ya Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mchango wake katika...wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Ustawi wa Jamii katika Viwanja vya Chuo cha Ustawi wa Jamii Kijitonyama Dar Es Salaam Agosti 30, 2025.
MoCDGWSG slide photo
Washiriki mbalilmbali katika Wiki ya Ustawi wa Jamii iliyoanza kufanyika kuanzia tarehe 25 - 30 Agosti, 2025, katika Viwanja vya Taasisi ya Ustawi wa Jamii, Kijitonyama Dar Es Salaam
MoCDGWSG slide photo
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima akiwa na Kamati ya Kitaifa ya Kuratibu Uanzishwaji wa Mfuko wa Pamoja wa Ruzuku kwa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NBF) katika Kongamano la Mwaka la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali 2025, Agosti 13, 2025, jijini Dodoma.
MoCDGWSG slide photo
Watoto wakiwa katika maandamano katika Maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika 2025 katika viwanja vya Chuo cha Ustawi wa Jamii Kijitonyama Dar Es Salaam Juni 17, 2025.
MoCDGWSG slide photo
Waziri wa Maendeleo ya Jamii. Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima akiwasilisha bajeti ya Wizara kwa mwaka wa fedha 2025/2026, Bungeni jijini Dodoma Mei 27, 2025
MoCDGWSG slide photo
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima (Mb), akitoa salamu za shukrani kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kufuatia ziara rasmi ya Mhe. Rais Alexander Stubb wa Jamhuri ya Finland katika Soko la Machinga Complex jijini Dar Es Salaam, 16 Mei,2025
MoCDGWSG slide photo
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko akimkabidhi tuzo Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima kutoka Chama cha Wataalam wa Maendeleo ya Jamii (CODEPATA) kwa kutambua mchango wake katika Kada hiyo wakati wa Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Wataalam hao uliofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Mei 7, 2025 jijini Dodoma.
MoCDGWSG slide photo
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, akizindua rasmi huduma za Mahabusu ya Watoto mkoani Mtwara tarehe 12 Aprili 2025. Uzinduzi huu ni hatua muhimu katika kulinda haki za watoto, kuwapatia elimu, na kuimarisha mifumo ya ulinzi na ustawi wao.
MoCDGWSG slide photo
Waziri wa Maendeleo ya Jamiii Jinsia Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima katika Hafla ya kupokea nakala ya Vitabu vya Mwongozo wa uundaji na uratibu wa Jukwa la uwezeshaji wanawake kiuchumi,April 08, 2025 - Dar es Salaam, April 08, 2025 - Dar es Salaam
Image 1
Dkt. John Jingu
Katibu Mkuu
Image 1
Wakili Amon Mpanju
Naibu Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii na Makundi Maalum
Image 1
Bi. Felister Peter Mdemu
Naibu Katibu Mkuu Maendeleo ya Jinsia na Wanawake

HUDUMA ZETU

Malezi ya Kambo na Kuasili ...
AFYA YA AKILI NA MSAADA WA KISAIKOLOJIA Afya ya Akili, Msaada wa Kisaikolojia na Kijamii, ni huduma endelevu inayolenga kukidhi mahitaji ya mtu kim... ...
Usajili wa vituo vya Kulea watoto mchana na Watoto Wachanga  UTARATIBU WA USAJILI WA VITUO VYA KULELEA WATOTO WADOGO MCHANA NA WATOTO WADOGO 1.0 Uta... ...
HUDUMA KWA WAZEE HUDUMA KWA WAZEE NCHINI Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, wanawake na Makundi Maalum kupitia Idara ya Ustawi wa Jamii inarat... ...
Usajili wa Makao ya Watoto   VIAMBATISHO VYA USAJILI WA MAKAO A: MWOMBAJI  BINAFSI Barua ya maombi ya leseni  kwenda kwa Mkurugenzi wa Halmashau... ...
USAJILI WA VITAMBULISHO VYA WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO Zoezi  la  utambuzi  na  usajili  wa  wafanyabiashara  ndogondogo utasimamiwa  na  Mratibu ... ...
Usajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali USAJILI WA NGOs TARATIBU ZA KUSAJILI MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI (NGOs) TANZANIA BARA A. MASHIRIK... ...
Usuluhishi wa Ndoa na Familia ...

KAMPENI

HABARI MPYA

SERIKALI ITAENDELEA KUBORESHA VYUO VYA MAENDELEO YA JAMII- WAKILI MPANJU
SERIKALI ITAENDELEA KUBORESHA VYUO VYA MAENDELEO YA JAMII- WAKILI MPANJU 📌AZINDUA JENGO LA UTAWALA CHUO CHA MAENDELEO YA JAMII MLALE – SONGEA Na Abdala Sifi – Ruvuma   Naibu Katibu Mkuu Wizara ya M ...
02 Oct, 2025 Soma Zaidi
MALEZI BORA YA WATOTO NI MSINGI WA MAENDELEO YA TAIFA – KITIKU
MALEZI BORA YA WATOTO NI MSINGI WA MAENDELEO YA TAIFA – KITIKU Na Jackline Minja - WMJJWM Dodoma  Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Mtoto, Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi ...
02 Oct, 2025 Soma Zaidi
WAZEE NI HAZINA YA TAIFA, TUWALINDE: DC SONGEA
WAZEE NI HAZINA YA TAIFA, TUWALINDE: DC SONGEA Na Abdala Sifi WMJJWM - Songea, Ruvuma  Mkuu wa Wilaya ya Songea Kapenjama Ndile amesema Wazee ni hazina ya Taifa hivyo jamii inatakiwa kuwaheshimu ,ku ...
30 Sep, 2025 Soma Zaidi
WAZEE NI NGUZO MUHIMU YA MAENDELEO YA TAIFA – WAKILI MPANJU
WAZEE NI NGUZO MUHIMU YA MAENDELEO YA TAIFA – WAKILI MPANJU   Na Jackline Minja WMJJWM- Manyoni, Singida   Katika kuelekea kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani, Serikali ya Awamu ya Si ...
30 Sep, 2025 Soma Zaidi

TAARIFA KWA UMMA

29 May 2025
fomu ya kujiunga na masomo katika chuo cha buhare,monduli,ruaha,rungemba,mlale,uyole,2025/2026
29 May 2025
fomu ya kujiunga na masomo katika chuo cha maendeleo ya jamii misungwi na mabughai 2025/2026
13 May 2025
tangazo kwa wamiliki wa vituo vya kulelea watoto wadogo mchana kuchukua vyeti vyao
19 Dec 2024
tangazo kwa mashirika yasiyo ya kiserikali
8 Aug 2024
kulaani vitendo vya unyanyasaji wa wasaidizi wa kazi za ndani

MATUKIO

Namba za mawakala wanaosambaza vitenge vitakavyotumika kushona sare katika siku ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, 8 Machi 2025, Arusha
Event Date : 12 Feb 2025 - 08 Mar 2025
12 Feb, 2025 Soma Zaidi
Namba za mawakala wanaosambaza vitenge vitakavyotumika kushona sare katika siku ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, 8 Machi 2025, Arusha
Event Date : 12 Feb 2025 - 08 Mar 2025
12 Feb, 2025 Soma Zaidi
Taarifa muhimu kuhusu vitenge vitakavyotumika kushona sare kwa ajili ya maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani machi 8, 2025, Arusha
Event Date : 12 Feb 2025 - 08 Mar 2025
12 Feb, 2025 Soma Zaidi
Maadhimisho ya Kimataifa ya Siku ya Wanawake Duniani
Event Date : 11 Feb 2025 - 08 Mar 2025
11 Feb, 2025 Soma Zaidi
SIKU YA KIMATAIFA YA KUPINGA UKEKETAJI
Event Date : 06 Feb 2025 - 08 Feb 2025
06 Feb, 2025 Soma Zaidi