Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum

Image 1
Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima
Waziri
Image 1
Mhe. Mwanaidi Ali Khamis
Naibu Waziri
MoCDGWSG slide photo
Baadhi ya waananchi waliowezeshwa mafunzJamiio ya ushonaji katika Chuo cha Maendeleo ya Jamii Rungemba wakimsikiliza Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Felister Mdemu alipotembeea kukagua uendeshaji wa miradi Chuoni hapo Oktoba 17,2025 Mkoani Iringa.
MoCDGWSG slide photo
Naibu Katibu Mkuu wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Felister Mdemu akiangalia mradi wa kufuga samaki alipotembelea Chuo cha Maendeleo ya Jamii Ruaha tarehe 16 Oktoba, 2025 mkoani Iringa.
MoCDGWSG slide photo
Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. John Jingu akiwa katika picha na Wazee wanaolelewa katika Makazi ya Wazee Wasiojiweza cha Tushikamane Pamoja Foundation yaliyopo Kata ya Kwembe, Manispaa ya Ubungo mkoani Dar Es Salaam tarehe 15 Oktoba, 2025 wakati wa ziara yake katika Makazi hayo .
MoCDGWSG slide photo
Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt John Jingu akipokea tuzo ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mchango wake katika uboreshaji huduma za ustawi wa Jamii wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Ustawi wa Jamii katika Viwanja vya Chuo cha Ustawi wa Jamii Kijitonyama Dar Es Salaam Agosti 30, 2025.
MoCDGWSG slide photo
Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt John Jingu akipokea tuzo ya Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mchango wake katika...wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Ustawi wa Jamii katika Viwanja vya Chuo cha Ustawi wa Jamii Kijitonyama Dar Es Salaam Agosti 30, 2025.
MoCDGWSG slide photo
Washiriki mbalilmbali katika Wiki ya Ustawi wa Jamii iliyoanza kufanyika kuanzia tarehe 25 - 30 Agosti, 2025, katika Viwanja vya Taasisi ya Ustawi wa Jamii, Kijitonyama Dar Es Salaam
MoCDGWSG slide photo
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima akiwa na Kamati ya Kitaifa ya Kuratibu Uanzishwaji wa Mfuko wa Pamoja wa Ruzuku kwa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NBF) katika Kongamano la Mwaka la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali 2025, Agosti 13, 2025, jijini Dodoma.
MoCDGWSG slide photo
Watoto wakiwa katika maandamano katika Maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika 2025 katika viwanja vya Chuo cha Ustawi wa Jamii Kijitonyama Dar Es Salaam Juni 17, 2025.
MoCDGWSG slide photo
Waziri wa Maendeleo ya Jamii. Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima akiwasilisha bajeti ya Wizara kwa mwaka wa fedha 2025/2026, Bungeni jijini Dodoma Mei 27, 2025
MoCDGWSG slide photo
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima (Mb), akitoa salamu za shukrani kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kufuatia ziara rasmi ya Mhe. Rais Alexander Stubb wa Jamhuri ya Finland katika Soko la Machinga Complex jijini Dar Es Salaam, 16 Mei,2025
Image 1
Dkt. John Jingu
Katibu Mkuu
Image 1
Wakili Amon Mpanju
Naibu Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii na Makundi Maalum
Image 1
Bi. Felister Peter Mdemu
Naibu Katibu Mkuu Maendeleo ya Jinsia na Wanawake

HUDUMA ZETU

Malezi ya Kambo na Kuasili ...
AFYA YA AKILI NA MSAADA WA KISAIKOLOJIA Afya ya Akili, Msaada wa Kisaikolojia na Kijamii, ni huduma endelevu inayolenga kukidhi mahitaji ya mtu kim... ...
Usajili wa vituo vya Kulea watoto mchana na Watoto Wachanga  UTARATIBU WA USAJILI WA VITUO VYA KULELEA WATOTO WADOGO MCHANA NA WATOTO WADOGO 1.0 Uta... ...
HUDUMA KWA WAZEE HUDUMA KWA WAZEE NCHINI Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, wanawake na Makundi Maalum kupitia Idara ya Ustawi wa Jamii inarat... ...
Usajili wa Makao ya Watoto   VIAMBATISHO VYA USAJILI WA MAKAO A: MWOMBAJI  BINAFSI Barua ya maombi ya leseni  kwenda kwa Mkurugenzi wa Halmashau... ...
USAJILI WA VITAMBULISHO VYA WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO Zoezi  la  utambuzi  na  usajili  wa  wafanyabiashara  ndogondogo utasimamiwa  na  Mratibu ... ...
Usajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali USAJILI WA NGOs TARATIBU ZA KUSAJILI MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI (NGOs) TANZANIA BARA A. MASHIRIK... ...
Usuluhishi wa Ndoa na Familia ...

KAMPENI

HABARI MPYA

MAAFISA MAENDELEO IBUENI  FURSA KWA JAMII-FELISTER MDEMU.
MAAFISA MAENDELEO IBUENI  FURSA KWA JAMII-FELISTER MDEMU. Na Witness Masalu- Iringa Naibu Katibu Mkuu wa Maendeleo ya Jamii Felister Mdemu ametoa amewahimiza  maafisa Maendeleo ya Jamii nchini kuubu ...
18 Oct, 2025 Soma Zaidi
WATAALAM WA MAENDELEO YA JAMII WANA JUKUMU LA KULINDA MAADILI.
WATAALAM WA MAENDELEO YA JAMII WANA JUKUMU LA KULINDA MAADILI. Na Witness Masalu- WMJJWM- Iringa. Wataalam wa Maendeleo ya Jamii wana jukumu la msingi la kuhakikisha kuwa jamii inaishi  katika maadi ...
17 Oct, 2025 Soma Zaidi
SERIKALI YAENDELEA KUIMARISHA HUDUMA ZA USTAWI KWA WAZEE.
SERIKALI YAENDELEA KUIMARISHA HUDUMA ZA USTAWI KWA WAZEE. Na Jackline Minja - WMJJWM Dar Es Salaam. Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. S ...
15 Oct, 2025 Soma Zaidi
SERIKALI ITAENDELEA KUBORESHA VYUO VYA MAENDELEO YA JAMII- WAKILI MPANJU
SERIKALI ITAENDELEA KUBORESHA VYUO VYA MAENDELEO YA JAMII- WAKILI MPANJU 📌AZINDUA JENGO LA UTAWALA CHUO CHA MAENDELEO YA JAMII MLALE – SONGEA Na Abdala Sifi – Ruvuma   Naibu Katibu Mkuu Wizara ya M ...
02 Oct, 2025 Soma Zaidi

TAARIFA KWA UMMA

29 May 2025
fomu ya kujiunga na masomo katika chuo cha buhare,monduli,ruaha,rungemba,mlale,uyole,2025/2026
29 May 2025
fomu ya kujiunga na masomo katika chuo cha maendeleo ya jamii misungwi na mabughai 2025/2026
13 May 2025
tangazo kwa wamiliki wa vituo vya kulelea watoto wadogo mchana kuchukua vyeti vyao
19 Dec 2024
tangazo kwa mashirika yasiyo ya kiserikali
8 Aug 2024
kulaani vitendo vya unyanyasaji wa wasaidizi wa kazi za ndani

MATUKIO

Namba za mawakala wanaosambaza vitenge vitakavyotumika kushona sare katika siku ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, 8 Machi 2025, Arusha
Event Date : 12 Feb 2025 - 08 Mar 2025
12 Feb, 2025 Soma Zaidi
Namba za mawakala wanaosambaza vitenge vitakavyotumika kushona sare katika siku ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, 8 Machi 2025, Arusha
Event Date : 12 Feb 2025 - 08 Mar 2025
12 Feb, 2025 Soma Zaidi
Taarifa muhimu kuhusu vitenge vitakavyotumika kushona sare kwa ajili ya maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani machi 8, 2025, Arusha
Event Date : 12 Feb 2025 - 08 Mar 2025
12 Feb, 2025 Soma Zaidi
Maadhimisho ya Kimataifa ya Siku ya Wanawake Duniani
Event Date : 11 Feb 2025 - 08 Mar 2025
11 Feb, 2025 Soma Zaidi
SIKU YA KIMATAIFA YA KUPINGA UKEKETAJI
Event Date : 06 Feb 2025 - 08 Feb 2025
06 Feb, 2025 Soma Zaidi