Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum

Image 1
Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima
Waziri
Image 1
Mhe. Mwanaidi Ali Khamis
Naibu Waziri
MoCDGWSG slide photo
Waziri wa Maendeleo ya Jamii. Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima akiwasilisha bajeti ya Wizara kwa mwaka wa fedha 2025/2026, Bungeni jijini Dodoma Mei 27, 2025
MoCDGWSG slide photo
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima (Mb), akitoa salamu za shukrani kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kufuatia ziara rasmi ya Mhe. Rais Alexander Stubb wa Jamhuri ya Finland katika Soko la Machinga Complex jijini Dar Es Salaam, 16 Mei,2025
MoCDGWSG slide photo
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko akimkabidhi tuzo Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima kutoka Chama cha Wataalam wa Maendeleo ya Jamii (CODEPATA) kwa kutambua mchango wake katika Kada hiyo wakati wa Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Wataalam hao uliofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Mei 7, 2025 jijini Dodoma.
MoCDGWSG slide photo
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, akizindua rasmi huduma za Mahabusu ya Watoto mkoani Mtwara tarehe 12 Aprili 2025. Uzinduzi huu ni hatua muhimu katika kulinda haki za watoto, kuwapatia elimu, na kuimarisha mifumo ya ulinzi na ustawi wao.
MoCDGWSG slide photo
Waziri wa Maendeleo ya Jamiii Jinsia Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima katika Hafla ya kupokea nakala ya Vitabu vya Mwongozo wa uundaji na uratibu wa Jukwa la uwezeshaji wanawake kiuchumi,April 08, 2025 - Dar es Salaam, April 08, 2025 - Dar es Salaam
MoCDGWSG slide photo
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mwananidi Ali Khamis, akishiriki futari na watoto wanaolelewa katika kituo cha Taifa Kikombo. Futari hiyo imeandaliwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Machi 25, 2025 katika makao ya kulea watoto Kikombo.
MoCDGWSG slide photo
Katibu Mkuu wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wanawake na Makundi Maalum Dkt. John Jingu akishiriki katika Mkutano wa kimataifa unaohusisha wajumbe wa nchi jumuiya za umoja wa kimataifa kwa lengo la kujadili nafasi ya mwanamke katika nchi zao ikiwa ni miaka 30 baada ya maazimio ya Beijing Machi 13, 2025 Jijini New york Marekani.
MoCDGWSG slide photo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongea na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima (Mb) mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Sheikh Abeid Amri kwa mkoani Arusha ajili ya Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake Machi 8, 2025
MoCDGWSG slide photo
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima (Mb), akisalimiana na wananwake wakati wa wa Kongamano laWananwake kanda ya Ziwa lililofanyika Machi 2, 2025, mkoani Geita.
MoCDGWSG slide photo
Waziri wa Ulinzi na jeshi la kujenga Taifa Dkt. Stargomena Tax akiwa na viongozi wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wanawake na Makundu Maalum, Viongozi wa Mkoa wa Arusha pamoja na wageni Waalikwa kwenye Kongamano la Wananwake kanda ya Kaskazini lilifanyika Machi 6, 2025 Kwenye ukumbi wa AICC jijini Arusha.
Image 1
Dkt. John Jingu
Katibu Mkuu
Image 1
Wakili Amon Mpanju
Naibu Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii na Makundi Maalum
Image 1
Bi. Felister Peter Mdemu
Naibu Katibu Mkuu Maendeleo ya Jinsia na Wanawake

HUDUMA ZETU

Malezi ya Kambo na Kuasili ...
AFYA YA AKILI NA MSAADA WA KISAIKOLOJIA Afya ya Akili, Msaada wa Kisaikolojia na Kijamii, ni huduma endelevu inayolenga kukidhi mahitaji ya mtu kim... ...
Usajili wa vituo vya Kulea watoto mchana na Watoto Wachanga  UTARATIBU WA USAJILI WA VITUO VYA KULELEA WATOTO WADOGO MCHANA NA WATOTO WADOGO 1.0 Uta... ...
HUDUMA KWA WAZEE HUDUMA KWA WAZEE NCHINI Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, wanawake na Makundi Maalum kupitia Idara ya Ustawi wa Jamii inarat... ...
Usajili wa Makao ya Watoto   VIAMBATISHO VYA USAJILI WA MAKAO A: MWOMBAJI  BINAFSI Barua ya maombi ya leseni  kwenda kwa Mkurugenzi wa Halmashau... ...
USAJILI WA VITAMBULISHO VYA WAFANYABIASHARA NDOGONDOGO Zoezi  la  utambuzi  na  usajili  wa  wafanyabiashara  ndogondogo utasimamiwa  na  Mratibu ... ...
Usajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali USAJILI WA NGOs TARATIBU ZA KUSAJILI MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI (NGOs) TANZANIA BARA A. MASHIRIK... ...
Usuluhishi wa Ndoa na Familia ...

HABARI MPYA

WAZEE WAMSHUKURU RAIS SAMIA KUBORESHA HUDUMA KWA USTAWI WAO.
na WMJJWM-Dodoma Wazee wameshukuru Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuweka mazingira mazuri katika utoaji wa huduma za Afya kwa wazee na masuala mengine ya Us ...
05 Jun, 2025 Soma Zaidi
DKT. JINGU ATAKA ELIMU YA STADI YA MAISHA IGUSE JAMII
WMJJWM- Dodoma Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. John Jingu, ametaka huduma na elimu ya stadi za maisha zinazotolewa katika Makao ya Taifa ya kulelea w ...
04 Jun, 2025 Soma Zaidi
WAHARIRI WAASWA KUPAZA SAUTI UTEKELEZAJI PROGRAMU KIZAZI CHENYE USAWA
Na WMJJWM-Dar Es Salaam  Wahariri wa Vyombo vya Habari nchini wameaswa kupaza sauti katika kuelimisha jamii juu ya utekelezaji wa Programu ya Kizazi chenye Usawa yenye lengo la kuleta Usawa wa Kijins ...
04 Jun, 2025 Soma Zaidi
TUWEKE MIKAKATI MADHUBUTI KUPAMBANA NA MILA NA DESTURI ZENYE MADHARA: WAKILI MPANJU
TUWEKE MIKAKATI MADHUBUTI KUPAMBANA NA MILA NA DESTURI ZENYE MADHARA: WAKILI MPANJU  Na WMJJWM, Ikungi - Singida  Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, ...
03 Jun, 2025 Soma Zaidi

TAARIFA KWA UMMA

29 May 2025
fomu ya kujiunga na masomo katika chuo cha buhare,monduli,ruaha,rungemba,mlale,uyole,2025/2026
29 May 2025
fomu ya kujiunga na masomo katika chuo cha maendeleo ya jamii misungwi na mabughai 2025/2026
13 May 2025
tangazo kwa wamiliki wa vituo vya kulelea watoto wadogo mchana kuchukua vyeti vyao
19 Dec 2024
tangazo kwa mashirika yasiyo ya kiserikali
8 Aug 2024
kulaani vitendo vya unyanyasaji wa wasaidizi wa kazi za ndani

MATUKIO

Event Date : 12th Feb 2025 - 08th Mar 2025
namba za mawakala wanaosambaza vitenge vitakavyotumika kushona sare katika siku ya maadhimisho ya siku ya wanawake duniani, 8 machi 2025, arusha
Event Date : 12th Feb 2025 - 08th Mar 2025
namba za mawakala wanaosambaza vitenge vitakavyotumika kushona sare katika siku ya maadhimisho ya siku ya wanawake duniani, 8 machi 2025, arusha
Event Date : 12th Feb 2025 - 08th Mar 2025
taarifa muhimu kuhusu vitenge vitakavyotumika kushona sare kwa ajili ya maadhimisho ya siku ya wanawake duniani machi 8, 2025, arusha
Event Date : 11th Feb 2025 - 08th Mar 2025
maadhimisho ya kimataifa ya siku ya wanawake duniani
Event Date : 06th Feb 2025 - 08th Feb 2025
siku ya kimataifa ya kupinga ukeketaji