Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi, akikagua ujenzi wa bweni la wasichana katika Chuo cha Maendeleo ya Jamii Uyole, Jijini Mbeya baada ya kufanya ziara maalum tarehe 05 Januari 2025.
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mhandisi MaryPrisca Mahundi akiwa katika picha na viongozi pamoja na wajumbe wa Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi Jiji la Dodoma Novemba 28,2025
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum,Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, akivishwa skafu na watoto wa
Shule ya Msingi Martin Luther, mkoani Dodoma, Novemba 26, 2025, wakati alipowasili kuzungumza na watoto hao kuhusu matumizi ya mitandao na athari zake kwao kuelekea likizo ya mwisho wa mwaka.
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima akiwa na Naibu wake Mhe. Mhandisi MaryPrisca mara baada ya kupokelewa na Menejmenti na Watumishi wa Wizara katika Ofisi za Wizara Mtumba jijini Dodoma tarehe 18 Novemba, 2025. Wengine ni Katibu Mkuu Dkt. John Jingu na Naibu Katibu Mkuu Wakili Amon Mpanju.
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi MaryPrisca Mahundi akiwa katika picha na mmoja ya kikundi cha Malezi Mkoa wa Ddodoma mara baada ya kuzungumza na wanavikundi vya malezi na matunzo ya watoto Kata ya Ihumwa Jijini Dodoma tarehe 27 Novemba, 2025.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Felister Mdemu (wa tatu kushoto) akiwa katika Mkutano Mkuu wa 21 wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo ya Viwanda (UNIDO’s General Conference) unaohitimishwa jijini Riyadh, Saudi Arabia, Novemba 27, 2025.