TANGAZO KWA WAMILIKI WA VITUO VYA KULELEA WATOTO WADOGO MCHANA KUCHUKUA VYETI VYAO
                        
                        
                    
                
            
                            TANGAZO KWA WAMILIKI WA VITUO VYA KULELEA WATOTO WADOGO MCHANA KUCHUKUA VYETI VYAO
                        
                        
                    
                        
                             13 May, 2025
                        
                        
                             Pakua
                        
                    
                Kamishna wa Ustawi wa Jamii anawatangazia wamiliki wa vituo vya kulelea watoto wadogo mchana kufika Wizarani Dodoma kuchukua vyeti vyao vya usajili ambavyo vimekaa muda mrefu bila kuchukuliwa.Orodha ya vyeti imeatishwa hapa.
