Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum

TANGAZO KWA WAMILIKI WA VITUO VYA KULELEA WATOTO WADOGO MCHANA KUCHUKUA VYETI VYAO

13 May, 2025 Pakua

Kamishna wa Ustawi wa Jamii anawatangazia wamiliki wa vituo vya kulelea watoto wadogo mchana kufika Wizarani Dodoma kuchukua vyeti vyao vya usajili ambavyo vimekaa muda mrefu bila kuchukuliwa.Orodha ya vyeti imeatishwa hapa.