Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum

TANGAZO KWA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI

19 Dec, 2024 Pakua

Msajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali anayatangazia Mashirika yote Yasiyo ya Kiserikali (NGOs) kwamba yanatakiwa kuwasilisha taarifa za utendaji kazi (Annual report of activities) pamoja na taarifa za hesabu za fedha za mwaka zilizokaguliwa (Annual audited report) kwa mwaka 2024