Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum

KUUNGANISHWA KWA VYUO VYA MAENDELEO YA JAMII, VYUO VYA MAENDELEO YA JAMII UFUNDI NA TAASISI YA MAENDELEO YA JAMII TENGERU

30 Jun, 2026 Pakua

Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum inautangazia umma kuwa, Serikali kupitia Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) imefikia uamuzi wa kuviunganisha Vyuo vya Maendeleo ya Jamii, Vyuo vya Maendeleo ya Jamii Ufundi na Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru.

slot gacor