Matukio

MKUTANO WA MWAKA WA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI

Mahali

Manispaa ya Jiji la Dodoma

Tarehe

2021-09-29 - 2021-09-30

Muda

08:00Hrs - 13:00Hrs

Madhumuni

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwa kushirikiana na Baraza la NGOs imeandaa Mkutano wa Mwaka wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali kuanzia tarehe 29-30 Septemba, 2021. Mkutano huu utafanyika katika Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete Jijini Dodoma ukiongozwa na KauliMbiu isemayo: "Kuimarisha Mchango wa NGOs katika Maendeleo ya Taifa". Mashirika Yasiyo ya Kiserikali yanaalikwa kujisajili kupitia: https://register.nacongo.or.tz

Event Contents

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwa kushirikiana na Baraza la NGOs imeandaa Mkutano wa Mwaka wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali kuanzia tarehe 29-30 Septemba, 2021. Mkutano huu utafanyika katika Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete Jijini Dodoma ukiongozwa na KauliMbiu isemayo: "Kuimarisha Mchango wa NGOs katika Maendeleo ya Taifa". Mashirika Yasiyo ya Kiserikali yanaalikwa kujisajili kupitia: https://register.nacongo.or.tz

Washiriki

Non Govermental Organisations

Ada ya Tukio

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwa kushirikiana na Baraza la NGOs imeandaa Mkutano wa Mwaka wa Mashirika Yasiyo ya Kis

Simu

0689 489554 au 0737569583 au 0737569584

Barua pepe

ps@jamii.go.tz or dngo@jamii.go.tz