Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum

WANAWAKE WANA NGUVU HAWANA SAAU YA KUWA WANYONGE

Imewekwa: 11 Mar, 2025
WANAWAKE WANA NGUVU HAWANA SAAU YA KUWA WANYONGE

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji Mhe. Prof. Kitila Mkumbo (Mb) akizungumza leo Machi 4, 2025 wakati wa ufunguzi wa kongamano la Wanawake kanda ya mashariki lililofanyika katika ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam.