Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum

INSPIRE TO LEAD
INSPIRE TO LEAD

Inspire to lead ni kampeni ya kuinua ushiriki wa wanawake na wasichana katika uongozi ngazi za mbalimbali uongozi na maamuzi na sekta za kisayansi. Lengo la kampeni ni kuimarisha usawa wa kijinsia nchini na kupunguza ukatili dhidi ya wanawake na Watoto na uewezeshaji wanawake kiuchumi, kubadili mitazamo ya kijamii kuhusu umuhimu wa wanawake na wasichana za uongozi na maamuzi katika ngazi mbalimbali. Aidha, kampeni inalenga kuwezesha wasichana kusoma masomo ya sayansi, uhandisi na hisabati.

MATUKIO

ELIMU KURIPOTI VITENDO VYA UKATILI YATOLEWA ZANZIBAR
Serikali kwa kushirikiana na Wadau wa maendeleo wakitoa elimu kwa umma juu ya namna ya...
16 Feb, 2026 Soma Zaidi
WAZIRI GWAJIMA AZINDUA KAMPENI YA “INSPIRE TO LEAD”...
WAZIRI GWAJIMA AZINDUA KAMPENI YA “INSPIRE TO LEAD” ASISITIZA USHIRIKIANO KWENYE KUJENGA JAMII YENYE USAWA...
16 Feb, 2026 Soma Zaidi
WAANDISHI WA HABARI REDIO JAMII WAPIGWA MSASA KAMPENI...
WAANDISHI WA HABARI REDIO JAMII WAPIGWA MSASA KAMPENI YA INSPIRE TO LEAD   Wizara ya Maendeleo...
17 Feb, 2026 Soma Zaidi