KONGAMANO LA WANAWAKE KANDA YA ZIWA
KONGAMANO LA WANAWAKE KANDA YA ZIWA
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, amewahimiza wanawake kushiriki kwa wingi katika sekta ya madini kama njia ya kuwawezesha kiuchumi na kuchochea maendeleo ya taifa